Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu Kenya
IMG_20230630_084718.jpg
 
Hii itakua funga kazi kudadeki….viva mama samia
Magufuli katuamsha sana, kwa sasa Bongo tunampima rais kupitia Magu, hata marais wanaokuja kipimo chao ndiyo hicho kwamba kuna sehemu asipofika wananchi lazima wamuone miyeyusho mana Magu kafanya mambo makubwa kitambo so lazima wapambane kweli kweli kwenda sawa na ile akili kubwa.
 
Magufuli katuamsha sana, kwa sasa Bongo tunampima rais kupitia Magu, hata marais wanaokuja kipimo chao ndiyo hicho kwamba kuna sehemu asipofika wananchi lazima wamuone miyeyusho mana Magu kafanya mambo makubwa kitambo so lazima wapambane kweli kweli kwenda sawa na ile akili kubwa.
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,JPM alikua president mwenye uzalendo usiopimika

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli katuamsha sana, kwa sasa Bongo tunampima rais kupitia Magu, hata marais wanaokuja kipimo chao ndiyo hicho kwamba kuna sehemu asipofika wananchi lazima wamuone miyeyusho mana Magu kafanya mambo makubwa kitambo so lazima wapambane kweli kweli kwenda sawa na ile akili kubwa.

Mama Samia kafanya miradi mingi sana sema watu wanachukulia poa maana hawaamini kama atafikia level ya Magu lakini kiukweli kasi tunayoenda nayo ni ile ile au zaidi.
 
Mama Samia kafanya miradi mingi sana sema watu wanachukulia poa maana hawaamini kama atafikia level ya Magu lakini kiukweli kasi tunayoenda nayo ni ile ile au zaidi.
Kapambana sana ,kumbuka miradi ya JPM bado kadhaa haijakamilika,anapambana na Yake na alioanzisha

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom