Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Wale wasudan nasikia wanaenjoy sana maana awaamini walichokutana nacho pale MUHAS,wanajiona kama wapo mambele vileWanafikiri wasudani walibahatisha kuja Tanzania![]()
Wale wasudan nasikia wanaenjoy sana maana awaamini walichokutana nacho pale MUHAS,wanajiona kama wapo mambele vileWanafikiri wasudani walibahatisha kuja Tanzania![]()
Zaidi ya gari 80K kwa sikuKama ile road haitoshi basi Tz kwa sasa iko mbali sn aiseee.
Nitafanya hivyo mzee.
Wanashindana na tanzania bado
Mwanza iko moto
Magufuli katuamsha sana, kwa sasa Bongo tunampima rais kupitia Magu, hata marais wanaokuja kipimo chao ndiyo hicho kwamba kuna sehemu asipofika wananchi lazima wamuone miyeyusho mana Magu kafanya mambo makubwa kitambo so lazima wapambane kweli kweli kwenda sawa na ile akili kubwa.Hii itakua funga kazi kudadeki….viva mama samia
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni,JPM alikua president mwenye uzalendo usiopimikaMagufuli katuamsha sana, kwa sasa Bongo tunampima rais kupitia Magu, hata marais wanaokuja kipimo chao ndiyo hicho kwamba kuna sehemu asipofika wananchi lazima wamuone miyeyusho mana Magu kafanya mambo makubwa kitambo so lazima wapambane kweli kweli kwenda sawa na ile akili kubwa.
Package ikoje mzee. Tupe utamu wote mzee!Iyo package ya BRT phase 4 sio mchezo
Yani ni balaa...kweli wameamua kuboresha jiji
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kutoka pale maktaba hadi mwenge, alafu mwenge hadi ubungo pale wanapiga mkeka pedestrian walkways,mitaro ya kufunikwa full taa...Package ikoje mzee. Tupe utamu wote mzee!
Niko mitaa ya kimara muda huu..Kama ile road haitoshi basi Tz kwa sasa iko mbali sn aiseee.
mzee mwenzangu jioni hio jam utaomba poo kwa kweli ukiimaliza kibo kuikamata kimara msongamano mkubwaSawa, Kwahiyo ile road imezidiwa?
Ni kweli masta sahv ndinga ni nyingi sanaNiko mitaa ya kimara muda huu..
Foleni ipo.... Njia imekuwa finyu... Waongeze tu
Nimewaza apo kutakua na tindua tundua nyingi ndio maana gharama ziko juu...
BTW itakua vyema sana maana ni kama zile lanes za sasa zimezidiwa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hili ni zaidi ya Bwawa ni Ziwa
Ni kweli.. Chapaa ipo..
Magufuli katuamsha sana, kwa sasa Bongo tunampima rais kupitia Magu, hata marais wanaokuja kipimo chao ndiyo hicho kwamba kuna sehemu asipofika wananchi lazima wamuone miyeyusho mana Magu kafanya mambo makubwa kitambo so lazima wapambane kweli kweli kwenda sawa na ile akili kubwa.
Kapambana sana ,kumbuka miradi ya JPM bado kadhaa haijakamilika,anapambana na Yake na alioanzishaMama Samia kafanya miradi mingi sana sema watu wanachukulia poa maana hawaamini kama atafikia level ya Magu lakini kiukweli kasi tunayoenda nayo ni ile ile au zaidi.