Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuwezi kufikia Kwa growth rate ya 5.2% tuliyonago Kwa Sasa,tukijitanidi by July Next year wakitia tutakuwa kwenye dollar bil.80 na sio zaidi ya hapo..
Gdp ya Tz inakuwa sana kwa sababu pia ya FDI , FDI Inakuza sana( Private investments ) plus Goverment Expenditure ..

Jiulize mwaka jana GDP ilikuwa ngap imekuwa by 7bn to 8bn ambayo ni zaidi ya 10%
 
Amesema uchumi wa Tanzania unaendeshwa kwa miradi, nijuavyo uchumi wa nchi yoyote ni mauzo ya nje na ndani ambayo ndio yanatengeneza GDP
Okay ni moja wapo ya factors lakini kuna factors kama 4 au 5 kwenye GDP..

Mfano Ethiopia ha export kuzidi Tz ila GDP yake kubwa ..

GDP= Consumption +Investemetns + Govt expenditure+ (export -import )
 
Kenya GDP itabidi uunganishe Danganyika na Uganda

0.00000001% ya GDP ya kenya imetoka kwa wachuuzi wa kitanzania wanaozungusha kahawa, mandazi na cripsi huku mitaani Kenya, karibuni sana wanamagufala
Screenshot_20230701-130047_Chrome.jpg
Screenshot_20230701-130141_Chrome.jpg
 
Amesema uchumi wa Tanzania unaendeshwa kwa miradi, nijuavyo uchumi wa nchi yoyote ni mauzo ya nje na ndani ambayo ndio yanatengeneza GDP
Ni vyote , private investments na public investment,Rudi kwenye kanunia ya GDP utaona
 
Okay ni moja wapo ya factors lakini kuna factors kama 4 au 5 kwenye GDP..

Mfano Ethiopia ha export kuzidi Tz ila GDP yake kubwa ..

GDP= Consumption +Investemetns + Govt expenditure+ (export -import )
Ni sawa lakini miradi mingi tulionayo pesa nyingi zinaenda nje kwenye ununuzi wa mitambo na materials nyingi ambazo hazizalishwi hapa nchini na ndio bei ghali kuliko zinazozalishwa nchini, mradi wa $3b unaweza kuta $2b zote zimetumika nje ya nchi

Huwezi kulinganisha tunachokipata kutokana na miradi na tunachokipata kutoka kwenye export yetu ya dhahabu, kahawa, chai, korosho, utalii, bidhaa etc hivyo sio sahihi kusema uchumi wetu unaendeshwa kwa miradi ila miradi ina mchango mkubwa kwenye uchumi wetu.
 
Ni vyote , private investments na public investment,Rudi kwenye kanunia ya GDP utaona
Nimefafanua vizuri, sikatai ina mchango ila haiendeshi uchumi, miradi ni matumizi ya kodi sio uzalishaji kwenye means of production japo on the process pia miradi kwa namna flani inachochea sekta za uzalishaji, tena miradi yetu ambayo wakandarasi 90% ni makampuni ya nje ndio changamoto
 
Nimefafanua vizuri, sikatai ina mchango ila haiendeshi uchumi, miradi ni matumizi ya kodi sio uzalishaji kwenye means of production japo on the process pia miradi kwa namna flani inachochea sekta za uzalishaji, tena miradi yetu ambayo wakandarasi 90% ni makampuni ya nje ndio changamoto
Simple concept ya GDP ni monetary value ya kilochozalishwa Kwa certain interval of time and in line with hii concept miradi ni zao jipya( New capital,goods au services) ambayo haikuwepo..

Kwa hiyo sio sawa ukisema eti haiendeshi uchumi ndio maana kwenye closed economy hakuna private sector ila GDP as a result of public investment Iko pale pale na Ina yield public welfare.
 
Actually ukikaa na kuwaza vizuri Dar inahitaji vyote , ndo maana nilitamani BRT iende sambaba na kuweka Njia nane kwenye phase zake ,lakini naona budget imeshindikana .Ni Bora wafikirie kabisa na kuacha reserve ya kutosha kama hela haitoshi sasa .Maana Njia 8 to 10 zinahitajika in 10 to 15 years time
1.Posta to Kibaha
2.Posta to Vikindu
3. Posta to Bunju
4 . Posta to Gomz

Phase zote 6 za BRT Zitaisha before 2030 hiyo ndo plan ..Na baada ya 2025 we are likely to see Mwanza , Dodoma na Arusha plus or minus Mbeya Kuanza kupata BRT.

Wakati huo Dar wataanza kujenga Light Railways ..Hii itasaidiana sana kwenye Mass Transit

Kweli tuachane na vibarabara vya njia nne sasa…Nairobi wamejitahidi kwenye barabara wanazo barabara pana nyingi
 
Mkuu upo "biased" Sana, yule mtoto alipigwa risasi na polisi, hilo lilikua ni kosa na polisi mwenyewe amekamatwa yupo ndani, Sasa hapo haki za binadamu zinakujaje wakati ni kosa la jinai na mtenda kosa amekamatwa?.

Hawa waandamanaji hawafanyi maandamano ya amani, wanachoma magari na kufanya uharibifu mkubwa Sana, lakini hakuna hata mmoja aliyepigwa risasi au kuuliwa, ingekua Afrika, Uarabuni, au nchi zingine hivi Sasa zaidi ya waandamanaji 300 wangekua wameuliwa, Kama ilivyotokea huko Iran hivi karibuni.

Kama kawaida Iran ilikua inasingizia nchi za Magharibi kuwa ndio zimechochea maandamano, lakini huko Ufaransa kamwe hawapeleki lawama kwa nchi yoyote, wao wanajua hilo ni tatizo lao na wanalitafutia ufumbuzi wao wenyewe. Ninakuhakikishia ingekua ni Afrika ungesikia "mabeberu hao ndio wanaochochea ghasia, hawa wanaofanya fujo ni vibaraka wa nchi za Magharibi". Juzi tu maandamano kidogo tu ya kupinga DPW wewe binafsi ulishaanza kusema "Ingekua DPW ni wazungu wasingeandamana".

Wiki ijayo Kenya wanaanza maandamano, hata bila kuharibu kitu chochote, watapigwa risasi na polisi hata Kama maandamano yatakuwa ya amani. Mkuu lazima ukubali kwamba wenzetu demokrasia na haki za binadamu wapo mbali Sana, tunapaswa kujifunza toka kwao.
islander M

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Amekamatwa baada ya dunia kuja juu lakini kwa vile dunia imekuja juu wamemchukua wakamuhifadhi lakini laiti dunia ingekaa kimya hata usingeskua ulichoskia 😅😅😅

Mm hua nawaambia haki za binaadamu na mahakama ya ICC ipo kwa ajili ya africa na ipo kwa ajili ya kuficha uchafu wao vile vile mark my words ni ngumu kukubali lakini ndio ukweli mzee
Demokrasia iliyokomaa

Hivi Uganda au Tanzania mahakama inaweza kumpa haki mwanahabari au chombo chochote Cha habari kuchapisha na kutangaza haki ya wapenzi wa jinsia Moja kwasababu tu wako huru kufanya hivyo hata Kama katiba ya nchi inatakaza mapenzi ya jinsia Moja?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kinaitwa haki ya mapenzi jinsia moja hakuna kitu kama hicho 😅😅😅😅

Yani hakuna haki ya mwanaume kupewa uume alaf ukaumbiwa mwanake awe starehe kwako ukasema hapana mm nifate laana ya kufukunyuliwa tope

Yani kitendo chenyewe hata ukimwambia mdudu hakuelew achilia binaadamu mwenye akili timamu

Kama shughuli ni kufykunyuliwa tope mwanamke aliletwe ili iweje au aliumbwa kwa kusudio gani mbona hatumuoni mbuzi akikosea tundu ikiwa hawana akili 😅😅😅
 
Back
Top Bottom