Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wivu chuki na kuwabania Sukuma gang Simon

Hakuna Rais Toka uhuru aliyefanya miradi Mingi Kwa sekta zote Kwa mda mfupi kama Samia,hakuna Cha Mwendazake Wala nani.Samia reformist na mliberali wa ukweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mashakahola wakileta jengo la viwango hivi nje ya Naipori nafuta account yangu humu jamvini.
FB_IMG_1688192435499.jpg
 
Hatuwezi kufikia Kwa growth rate ya 5.2% tuliyonago Kwa Sasa,tukijitanidi by July Next year wakitia tutakuwa kwenye dollar bil.80 na sio zaidi ya hapo..
Mahesabu ya GDP hayako straight hivyo kama unavyofikiria kuwa 5.2% ya 75bn itakuwa 80. Ni fornula moja matata sana. Unaweza ukakuta GDP inaongezeka kwa 5.2% kwenye uchumi wa 75b lakini real growth ika grow from 75bn to even 90bn.
 
Hatuwezi kufikia Kwa growth rate ya 5.2% tuliyonago Kwa Sasa,tukijitanidi by July Next year wakitia tutakuwa kwenye dollar bil.80 na sio zaidi ya hapo..
Ile $85B walitabiri IMF sio hawa WB
Lakini tofauti zao hua sio kubwa...kama mwaka 2022 imf walitabiri Tz itakua na $77B kwahyo inamake sense...
Alafu uchumi wa Tz unategemea sana Government spending...haya mamiradi ndio yanachochea zaidi uchumi...ukiangalia per capita inasoma $1192... hii bado ni ndogo sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ile $85B walitabiri IMF sio hawa WB
Lakini tofauti zao hua sio kubwa...kama mwaka 2022 imf walitabiri Tz itakua na $77B kwahyo inamake sense...
Alafu uchumi wa Tz unategemea sana Government spending...haya mamiradi ndio yanachochea zaidi uchumi...ukiangalia per capita inasoma $1192... hii bado ni ndogo sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Miradi ndio tunaexport?
 
Back
Top Bottom