Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I bet BRT Phase 3 itasmama sana kwa kuzingatia tu key players wake kwny mradi husika;
Mhandisi Mshauri wa kwanza kwenye Road Works (Lot 1 ) ni SMEC asili ni Australia na ndiye alikuwa Mhandisi Mshauri kwenye awamu ya kwanza ya BRT, Kimara-Kivukoni na matawi yake mkandarasi akiwa ni Strabag
Mhandisi Mshauri mwingine kwenye Road Works ni Habconsult Ltd, huyu ni noma project zake zote zimesimama to name few PSSPF Tower (Blue Tower-Mawasiliano),Mlongazila Hospital, Golden Jubilee Tower etc na kuna future project ya ocean view mall wapi sijui tusubiri yuko nayo pitieni humu;
Habconsult Ltd watatu upande huo ni Mhandisi Consultancy Ltd
Kwenye upande wa Buildings (Lot 2) UNITEC ndo mhandisi mshauri ambaye kazi inayomuuza ya hivi karibuni ni SGR kipande cha kwanza na cha pili Dar-Moro-Moro-Makutupora (Kuanzia Tanzanite to Dodoma Terminus mwamba ni yeye) you can tell;
kwa baadhi yetu tuliopita krb na mradi unaona kabisa jamaa wako serious na kazi kuanzia equipments wanazotumia mpaka ubora wa kazi yenyewe swafi kbs tunachoomba kwenye vituo vyetu awamu ya tatu msitunyime gladding ya vioo kama walivyofanya kwenye awamu ya pili please! vituo vile vimepunguza thamani ya kazi kubwa mlioifanya.
Kumbe, basi ndo maana BRT phase 3 hadi wana mobile toilet site!! Kumbe ma consultant ni watu serious!!
 
Back
Top Bottom