The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Yah, one of them.alliens...
Yah, one of them.alliens...
Kama ile road haitoshi basi Tz kwa sasa iko mbali sn aiseee.

joto la jiwe haki za binaadamu ziko wapi kaka juzi kapigwa risasi kijana kutoka asia hapo france na dunia imekaa kimya na hakuna media za wazungu zikionesha ila moto umewaka vibaya sana lakini hutaskia mahakama ya ya uhalifu wala haki za binaadamu wa haki za nyoko
Ingekua ni africa au adui wao ungeskia dunia nzima imesmama


Kutoka pale maktaba hadi mwenge, alafu mwenge hadi ubungo pale wanapiga mkeka pedestrian walkways,mitaro ya kufunikwa full taa...
Alafu kutoka pale mwenge hadi tegeta dose iyo iyo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kumbuka wana upgrade brt piaWatoe tu mana hizo pesa hazipo mfukoni mwetu, tukisema wasitoe wanazipiga.
Mjaluo katembelea mwanzaMwanza iko moto

Mm hua nasema bro haki za binaadamu na ICC ipo kwa ajili ya africa tu , wanazitumia kama njia yakuficha maovu yao na kudanganya watu wa africa huku na hayo machafuko ndio yangekua africa dunia nzima ingeskika na wangekaa vikao kila aina vya kinafki 😅😅😅😅😅
JOTO LA JIWE ...unaitwa huku....
atakwambia hayo ni mambo yao ya ndani tusiwaingilie...
View attachment 2674550View attachment 2674549
Wana upgrade BRT kivipi wakat ipo ??Kumbuka wana upgrade brt pia
Hvi ni tegeta boko au nyuki maana wakiishia nyuki watakua hawajaitendea haki iyo njiaKutoka pale maktaba hadi mwenge, alafu mwenge hadi ubungo pale wanapiga mkeka pedestrian walkways,mitaro ya kufunikwa full taa...
Alafu kutoka pale mwenge hadi tegeta dose iyo iyo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
😄😄😂 mkuu, usiwe serious.. huyu kijana wangu mchukulie tu kama alivyo mkuu..Mkuu mheshimu sana Distinguished Professor of Law in East Africa
joto la jiwe haki za binaadamu ziko wapi kaka juzi kapigwa risasi kijana kutoka asia hapo france na dunia imekaa kimya na hakuna media za wazungu zikionesha ila moto umewaka vibaya sana lakini hutaskia mahakama ya ya uhalifu wala haki za binaadamu wa haki za nyoko 😅😅
Ingekua ni africa au adui wao ungeskia dunia nzima imesmama 👇👇👇👇👇
Kuna vifaa vitafungwa ili kurihusu mabasi ya brt tuu kupita kwenye njia zake tofauti na sasa mpaka bodaboda zinapitaWana upgrade BRT kivipi wakat ipo ??
Kivipi mkuu.Kumbuka wana upgrade brt pia
Hiyo award itakuwa kanunua tu! Sioni kwa nini hajapata CEO wa air Malawi kwa mfano, ana ndege tatu na amekuwa profitable miaka miwili sasa!!Me simuelewi kabisa Matindi, air Tanzania watu wanajiamulia tu mambo na yeye yupo, delays nyingi zinasababishwa na uzembe, eti leo apewe tunzo kwa utumishi upi?