Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, huyo Mungu ameumbwa na nani?, Kama Mungu amekuumba hiyo ni Imani yako, kwanini unataka kulazimisha wote tuamini Kama unavyo amini wewe?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tuseme binaadamu hajaumbwa so nani anaendesha uhai na umauti nani nani anapuliza roho kwa viumbe au kila kitu kiko by nature 😅😅😅😅 mm nilijua maswali yangu huwezi jibu ndio maana nikajua utarudi kila mtu awe na imani yake
 
Kuweka vikwazo sio demokrasia, ila kuminya uhuru wa raia wako kutokana na mtazamo wa kiimani na kimtazamo ndio demokrasia sio?.

Hakuna kurudi nyuma, nchi yoyote itakayoendekeza sheria kandamizi lazima ikutane na vikwazo, lazima watalegea.

Uganda inashindwa kushughulika na Rushwa, wizi na uzembe katika serikali ambavyo vinasababisha vifo na umasikini kwa waganda, badala yake inashughulika na watu ambao hawana athari yoyote kwa maisha ya watu na uchumi wa nchi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama kila nchi inasheria zake na tumekiri kua kila nchi lazma iheshimu sheria za nchi zingine kwann yeye asiheshimu sheria za uganda kama nchi huru inayojitegemea kwann ulazmishe laana zenu kwao pia mbona nchi za kiarabu hawapeleki vikwazo na ndio wana sheria kali duniani?? Au kwasababu wao wanajiweza kwenye kila kitu au shamba la bibi ni africa tu ??😅😅😅

Mbona france maandamano juzi watu wametandikwa kama wanyama mbona hatujaskia haki za binaadamu au media zao kurepoti kwann africa tu au hzo haki za binaadamu ni kwa ajili ya africa ili kupenyeza uovu wao kwa mlango wa haki za binaadamu???

Iache uganda na uheshimu maamuzi yao kama nchi huru lakini sio kuingilia maamuzi na sheria zao kikatiba sio kwasababu ya ukubwa wenu ndio muonee nchi ndogo kwasababu hazitaki laana mulizonazo

Na mm nashangaa sana kwann ushoga umelengwa sana africa kwann sio nchi zingine au kuna nn nyuma ya pazia ??😅😅
 
Tuseme binaadamu hajaumbwa so nani anaendesha uhai na umauti nani nani anapuliza roho kwa viumbe au kila kitu kiko by nature [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mm nilijua maswali yangu huwezi jibu ndio maana nikajua utarudi kila mtu awe na imani yake
Nani aliyemuumba Mungu?, Jibu kwanza hili swali. Ninajua huna jibu utabaki kutumia vitabu vya dini ambavyo hata walioviandika hawajulikani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kama kila nchi inasheria zake na tumekiri kua kila nchi lazma iheshimu sheria za nchi zingine kwann yeye asiheshimu sheria za uganda kama nchi huru inayojitegemea kwann ulazmishe laana zenu kwao pia mbona nchi za kiarabu hawapeleki vikwazo na ndio wana sheria kali duniani?? Au kwasababu wao wanajiweza kwenye kila kitu au shamba la bibi ni africa tu ??[emoji28][emoji28][emoji28]

Mbona france maandamano juzi watu wametandikwa kama wanyama mbona hatujaskia haki za binaadamu au media zao kurepoti kwann africa tu au hzo haki za binaadamu ni kwa ajili ya africa ili kupenyeza uovu wao kwa mlango wa haki za binaadamu???

Iache uganda na uheshimu maamuzi yao kama nchi huru lakini sio kuingilia maamuzi na sheria zao kikatiba sio kwasababu ya ukubwa wenu ndio muonee nchi ndogo kwasababu hazitaki laana mulizonazo

Na mm nashangaa sana kwann ushoga umelengwa sana africa kwann sio nchi zingine au kuna nn nyuma ya pazia ??[emoji28][emoji28]
Mkuu, Uganda haijaingiliwa na mtu, sheria za Uganda zinasema ushoga hapana, na Sheria za Marekani zinasema sheria kandamizi hapana.

Kila nchi Iko na sheria yake, Sasa Kama utekelezaji wa katiba ya Marekani unaleta athari kwa nchi nyingine nje ya Marekani, hilo sio lengo la Marekani, hiyo ni shida ya hiyo nchi kuwa tegemezi, mbona North Korea, Iran, Russia zimewekewa vikwazo lakini hawalalamiki?

Mkuu, nchi yoyote Iko na uhuru na maamuzi yake, wachague kati ya vikwazo au kuachana na hiyo sheria, uamuzi ni wenu, lakini hakuna nchi itakayoachwa bila kupata vikwazo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hapana, lakini napenda haki na usawa. Inasikitisha sana kuwa leo hii bado kuna binadamu wasiopata haki na usawa. Wewe unafurahia wengine kunywimwa haki zao lakini nina uhakika utakuwa kwenye hali ngumu kama ukinyang’anywa ingalau hata haki moja unayfurahia kuwa nayo kila siku.
Kwaiyo mkuu unafurahia kuingiliwa kinyume na maumbile?
 
Ila uzinzi wa wake za watu ndio maadili ya waafrika, sivyo?. Mkuu, ulichokizoea kwa miaka mingi na kuwa ni sehemu ya maisha yako, usitake kulazimisha kwa wengine iwe ndio hivyo.

Waafrika tumezoea uzinzi na umalaya wa kupitiliza kiasi kwamba tunaona ni jambo la kawaida na kulifanya ni sehemu ya Mila zetu, wakati kiukweli, uzinzi una athari kubwa katika jamii kuliko ushoga ambao hauna madhara yoyote kijamii.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Fungueni Uzi mwingine wa kutetea haki za machoko
 
Kama kila nchi inasheria zake na tumekiri kua kila nchi lazma iheshimu sheria za nchi zingine kwann yeye asiheshimu sheria za uganda kama nchi huru inayojitegemea kwann ulazmishe laana zenu kwao pia mbona nchi za kiarabu hawapeleki vikwazo na ndio wana sheria kali duniani?? Au kwasababu wao wanajiweza kwenye kila kitu au shamba la bibi ni africa tu ??[emoji28][emoji28][emoji28]

Mbona france maandamano juzi watu wametandikwa kama wanyama mbona hatujaskia haki za binaadamu au media zao kurepoti kwann africa tu au hzo haki za binaadamu ni kwa ajili ya africa ili kupenyeza uovu wao kwa mlango wa haki za binaadamu???

Iache uganda na uheshimu maamuzi yao kama nchi huru lakini sio kuingilia maamuzi na sheria zao kikatiba sio kwasababu ya ukubwa wenu ndio muonee nchi ndogo kwasababu hazitaki laana mulizonazo

Na mm nashangaa sana kwann ushoga umelengwa sana africa kwann sio nchi zingine au kuna nn nyuma ya pazia ??[emoji28][emoji28]


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hapana, lakini napenda haki na usawa. Inasikitisha sana kuwa leo hii bado kuna binadamu wasiopata haki na usawa. Wewe unafurahia wengine kunywimwa haki zao lakini nina uhakika utakuwa kwenye hali ngumu kama ukinyang’anywa ingalau hata haki moja unayfurahia kuwa nayo kila siku.
Hakuna haki ya kuwa shoga mkuu, hata wewe usingependa mwanao awe shoga au msagaji, hata iyo nature mnayosema ndio imesababisha ukawa wewe haijakutengeneza uwe shoga acheni haya mambo ya kutetea tetea ujinga. Nchi yetu hairuhusu huo upuuzi, msiige kila mnacholetewa, nchi zetu za Africa hususan Tanzania hairuhusu haki zilizopitiliza na kama ukiona hutendewi haki nenda kaishi unapoona haki hiyo utaipata lkn hapa kwetu haturuhusu hiyo tabia.

Kila nchi ina utaratibu wake, mm nmekuwa nimekuta hivyo kwamba ushoga hairuhusiwi hapa kwetu na ni fedheha kuwa shoga tangu ngazi ya familia, hiyo elimu yenu mliyopata msiitumie kutuharibia jamii yetu kwa kutuingizia mambo mageni kwetu tafadhali.
 
Mimi sijui nitumie lugha gani unielewe. Kiufupi nimesema kuwa SEXUALITY ni complex. Kuna watu wameoana mwanaume na mwanamke na wanafanya VAGINAL AND ANAL SEX. Ni kitu wanachofanya kwasababu ni ATTRACTIVE na ENJOYABLE kwao. Lakini si kila mtu anafanya hivyo. Kwa hiyo usiseme kuwa anal sex ni act inayofanywa na gay people pekee. And just so you know, si kila shoga anafanya Anal sex kwasababu kama nilivyokwambia mwanzo kila mtu ana hisia zake. Kwa hiyo huwezi kusimama na idea moja ya what it means to have sex!
Duuhh aisee noma sana.
 
Mv Mbeya
mazplusfly_tz_1685718218776860.jpg
mazplusfly_tz_1685718218776688.jpg
mazplusfly_tz_1685718218776915.jpg
mazplusfly_tz_1685718218776679.jpg
mazplusfly_tz_1685718218776833.jpg
mazplusfly_tz_1685718218777992.jpg
 
Back
Top Bottom