Dini yako na Imani yako haipaswi kukandamiza haki za mtu mwingine. Na pia Mungu Huyo Huyo ndiye anayeumba mashoga na ni Mungu huyo huyo ndiye anayeumba wanawake wenye testicles and wanaume wenye ovaries. Kwa hiyo labda unahitaji kumuuliza kwanini anafanya hivyo kabla ya ku-condemn watu wengine. And for obvious reasons, si kila mtu anaamini uwepo wa Mungu na si kila mtu anaabudu Mungu unayemuamini Wewe. Kwa hiyo Imani yako isiwe chanzo cha kuharibu maisha ya watu amabao hawajihusishi kabisa na Imani yako.