Wacha Kulalamika sana, hivi vinchi vyetu vya Afrika bado Sana vinahitaji kusaidiwa na kusimamia kuanzia kwenye uchumi hadi katika kujiendesha, bado vichwa vingi vya waafrika vimejaa ujinga na vinaendeshwa na Imani zaidi kuliko facts.
Hadi hapo waafrika tutakapopevuka na kuweza kujisimamia kiuchumi, kisiasa na kijamii ndio siku tutaachwa kujiendesha wenyewe. Bara ambalo hadi Leo watu wake wanadanganya na viongozi wa dini na kufunga hadi kufa, watu ambao hadi Leo wanaishi kwa kutegemea na kutajataja Mungu, lazima tusimamiwe.
Mkuu, ninakuhakikishia ushoga unakuja Afrika bila wasiwasi, South Afrika imeshapitisha katika katiba Yao, hakuna nchi yoyote itakayoweza kuzuia ushoga, Uganda ndio mfano mzuri, ikifika December 2023, nchi zote za Afrika zitaikimbia Uganda, Uganda itabaki "Isolated" na ndani kutakua na "civil unrest".
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app