Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😁😁 Nyie Wajinga wa Kunyaland lipeni Madeni ya watu,kubadili ceiling Ili mkope zaidi hakuondoi shida ila kunazidi kuongeza tatizo


Meanwhile in Tanzania we are hiring
 
Kwani mkuu wewe ni shoga?
Hapana, lakini napenda haki na usawa. Inasikitisha sana kuwa leo hii bado kuna binadamu wasiopata haki na usawa. Wewe unafurahia wengine kunywimwa haki zao lakini nina uhakika utakuwa kwenye hali ngumu kama ukinyang’anywa ingalau hata haki moja unayfurahia kuwa nayo kila siku.
 
Summary ya Wizara ya Nishati Budget

Tanesco has 4.319million customers from 3.8million 12 percent growth

Power produced on grid plants 1872Mw kati ya hizo 1198Mw(64% is produced by Gas plants , Hydro 574Mw 30.6% , Disel 88mw , Biogas 10MW ....Total on Grid and Off 1911MW .. Peak Power consmuption (On Grid only 1431Mw on May 2023


Transmission lines 66kv and above total 6363km from 6111km , Below 33kv 168K Kilometes from 153k

Kinyerezi extension 1 185mw completed na sasa Kinyerezi 1 inazalisha 335MW total na Kinyerezi 2 240MW half of Total Gas plants in Tz ..sijaona plans za Kinyerezi 3 and 4 mostly ziko shelved

Rusumo falls 80Mw 99percent completed to add 26mW Tz cost 262Billion Tsh ..mostly i think ni Transmission lines ..


Kakono Project 87.8 MW to cost Tz 724Billion tsh price includes 38km Transmission line and upgarde of station from 132kv to 220kv ..Project to start March 2024 to end Feb 2029.... (Hydro is Fxxkn expensive )

Solar Project Kishapu 150MW .total cost 294billion tsh phase 1 50mw to start June 2023 to end Augsut 2024 ...

Hizo ndo project apart from JNHPP tutazoona zikifanyika in coming years.ambazo contracts tayari


Ambazo bado hi
1.. Mtwara Gas Plant 300Mw cost 1billion USD cost involves 268km 400KV transmission lines which are costful as F ..Project most likely kuanza ni Oct 2025 kuisha 2028 Sept

2. Rumakali 358mw , Ruhidiji 222mw , Kikonge 321 mw dont expect them soon ..most projects hapo ni loans , plus zote zinacost above 1 trillion Tsh ..na most zitaanza 2025 plus

Transmission projects
1.JNHPP To Chalinze 400kv 160km Cost 134billion Tsh

2.SGR lot 2 transmiison line Moro to Dom 220kv 414km cost 71.5million usd which is 166bilon tsh

3 SGR transmiison line phase 3 ni 347km 220kv line makutupora to tabora cost nu 90million usd 212bil tsh , PHASE 4 COST 56MIL usd , PHASE 5 COST 59MIL usd

My take

1.SGR cost transmiion line might cost 400mil usd alone to 500mil usd , which should be added to project ,.it might be benefical cause itaendeleza upatikanaji wa umeme kwenye miji na viji visivyokuwa na umeme kama watajenga vituo kupozea na kusambaza vijijini .

2. Rumakali, Ruhidiji, Kikonge should not be our priority , maybe upto 2028 , not sure our demand will be above 5000mw in 2030..and JNHPP, and other ongoing projects will be enough ..we shouldnt take more loans during this 8year period and focus on repaying previous loans ..
 
Sasa unauliza swali gani hilo? Ww ukiona mtoto wa kiume anakaza fuvu ujue tayar washampasua tu
Mkuu, hii ni dalili ya kukosa hoja kulinda kile unachokisimamia badala yake unaanza "personal attacks", sio sawa hata kidogo. Jenga hoja mkuu wachana na maneno ya kwenye vigodoro.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hii ni dalili ya kukosa hoja kulinda kile unachokisimamia badala yake unaanza "personal attacks", sio sawa hata kidogo. Jenga hoja mkuu wachana na maneno ya kwenye vigodoro.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ndio maana nasema kuwa bigotry ndio hoja pekee waliyonayo watu kama hawa. Hakuna sababu nyingine. Yeye hapo anafikiri ameniweza. It’s funny when you think about it.
 
Hapana, lakini napenda haki na usawa. Inasikitisha sana kuwa leo hii bado kuna binadamu wasiopata haki na usawa. Wewe unafurahia wengine kunywimwa haki zao lakini nina uhakika utakuwa kwenye hali ngumu kama ukinyang’anywa ingalau hata haki moja unayfurahia kuwa nayo kila siku.
Mtoto wako wakiume akitaka haki yake kuwa shoga utamshauri vp?
 
Mkuu, hii ni dalili ya kukosa hoja kulinda kile unachokisimamia badala yake unaanza "personal attacks", sio sawa hata kidogo. Jenga hoja mkuu wachana na maneno ya kwenye vigodoro.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mtoto wa kiume unaejua wajibu wakuumbwa huwez kushadadia ushogo tusiharibu vijana kwa maslahi ya watu wachache ushoga sio mila ya africa na ukweli ndio huo hautabadilika

Haki sawa iko kwenye kubadilisha maumbile sio 😅😅😅
 
Mtoto wa kiume unaejua wajibu wakuumbwa huwez kushadadia ushogo tusiharibu vijana kwa maslahi ya watu wachache ushoga sio mila ya africa na ukweli ndio huo hautabadilika

Haki sawa iko kwenye kubadilisha maumbile sio 😅😅😅
Wajibu wa kuumbwa unaozungumzia ni upi?
 
Back
Top Bottom