Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatafakari mawazo yako vizuri kabla ya kuandika? Unaona ni vyema Kwa polisi “kuwapoteza” watu Au wananchi kuua mtu?

Hebu niambie athari za jamii unazozisema ni zipo?
Athari za kimaadili sio athari kwenye jamii?
 
Sasa mbona mnalalamika kwa Marekani kuweka vikwazo?, Wacha tuone kati ya Uganda na Marekani, nani zaidi, niko palee nimekaa ninasubiri kuona nani ataibuka mshindi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Anaweka vikwazo kwani uganda ni colony yake?? Kwann uweke vikwazo kwenye sheria za nchi nyingine hio ndio democracy wanayoinadi kila siku ulimwenguni au democracy iko africa tu 😅😅😅😅

Yani kisa ww mkubwa uwapangie sheri wadogo alaf unajinadi unaijua democracy

Pale utakaa sana africa na ushoga bado sana tena sana 😅😅😅😅 na hvi one world order ndio inakufa tena ndio kabisaaa
 
Kwani Mungu husema ukweli kija jambo?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
MUNGU akuumbe alaf uwe mjuaji kuliko yeye yani akuumbe akupe na akili kiduchu alaf ujione mjanja kuliko yeye 😅😅😅 zuia uzee au kifo tuone kweli muna akili ya kwenda

Mpaka leo wanasayansi hawajui nn kuhusu roho wanahangaika kujua roho ni nn 😅😅😅
 
Kwann ukikojoa mkojo wa kawaida uume unakua haujasimama na kwann ukifanya tendo uume unasimama ?? Shida iko wapi?
Uliuliza swali na umejibiwa, kwa taarifa yako sio lazima ufanye sex siku hizi ndio upate mtoto. Hivi unajua kwamba siku hizi "Reproduction is done by cloning?". Mkuu get out of primitivity and get modern scientific knowledge".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Uliuliza swali na umejibiwa, kwa taarifa yako sio lazima ufanye sex siku hizi ndio upate mtoto. Hivi unajua kwamba siku hizi "Reproduction is done by cloning?". Mkuu get out of primitivity and get modern scientific knowledge".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hujajibu bado unazunguka tu iweje ukikojoa kojo la kawaida uume hausimami na kufanya tendo uume usimame ??😅😅 bado unataka kuamini kipumulio cha kutoa kinyesi kitumike kuwapumulia watu kisogoni yani MUNGU awaumbe alaf muwe wajuaji kuliko yeye

Tulitegemea shoga nae abebe ujauzito ili tuamini hio science 😅😅😅
 
Anaweka vikwazo kwani uganda ni colony yake?? Kwann uweke vikwazo kwenye sheria za nchi nyingine hio ndio democracy wanayoinadi kila siku ulimwenguni au democracy iko africa tu

Yani kisa ww mkubwa uwapangie sheri wadogo alaf unajinadi unaijua democracy

Pale utakaa sana africa na ushoga bado sana tena sana na hvi one world order ndio inakufa tena ndio kabisaaa
Kuweka vikwazo sio demokrasia, ila kuminya uhuru wa raia wako kutokana na mtazamo wa kiimani na kimtazamo ndio demokrasia sio?.

Hakuna kurudi nyuma, nchi yoyote itakayoendekeza sheria kandamizi lazima ikutane na vikwazo, lazima watalegea.

Uganda inashindwa kushughulika na Rushwa, wizi na uzembe katika serikali ambavyo vinasababisha vifo na umasikini kwa waganda, badala yake inashughulika na watu ambao hawana athari yoyote kwa maisha ya watu na uchumi wa nchi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hujajibu bado unazunguka tu iweje ukikojoa kojo la kawaida uume hausimami na kufanya tendo uume usimame ?? bado unataka kuamini kipumulio cha kutoa kinyesi kitumike kuwapumulia watu kisogoni yani MUNGU awaumbe alaf muwe wajuaji kuliko yeye

Tulitegemea shoga nae abebe ujauzito ili tuamini hio science
Mkuu, huyo Mungu ameumbwa na nani?, Kama Mungu amekuumba hiyo ni Imani yako, kwanini unataka kulazimisha wote tuamini Kama unavyo amini wewe?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ministry of Tourism and Wildlife Dodoma

20230602_150559.jpg
20230602_150600.jpg
20230602_150603.jpg
 
Back
Top Bottom