ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Tunaanza kule ambako miundombinu Iko na soko lipokwa nini sio Dodoma? au Hakuna hoteli za maana?
Tunaanza kule ambako miundombinu Iko na soko lipokwa nini sio Dodoma? au Hakuna hoteli za maana?
Ina maana mkuu hujui lolote kuhusu historian ya ukombozi wa kusini mwa Africa ambayo Leo imezaa SADC?Tanzania hao kina Cuba,China na Russia walikuwa front line ipi wakati hakuna vita ya ukombozi?
Pole sana choko la Mombasa uchoko ni hukohuko Kenya kwa washobokea wazunguChoko ni baba Yako
Choko ni dad YakoPole sana choko la Mombasa uchoko ni hukohuko Kenya kwa washobokea wazungu
Ina maana mkuu hujui lolote kuhusu historian ya ukombozi wa kusini mwa Africa ambayo Leo imezaa SADC?
Hivi hujui kwamba Vladimir Putin iliishi Bagamoyo miaka ya 1970s akifundisha wapiganaji wa Zimbabwe kupambana na Ian Smith?, au Zimbabwe Msumbiji, Angola na South Afrika walipata Uhuru wao kwa maneno tu Kama sisi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tulifanya makosa kuwasaidia waafrika wenzetu kupigana Ili kujikomboa na kurudisha utu, heshima na uhuru wa waafrika?Walikuwa kuwatumia na kutumia rasilimali zetu na kutuacha na umaskini, Marekani Huwa hafanyi huu ujinga
Just because of 12 kenyans?? This things happen all the time, difference ni kenya allows dual citizenship. Watanzania hapa hmna exposure kabisa, ni mdomo tuBut your citizens are flocking in other countries asking for citizenships and deny Kenya's citizenships.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa,walilipinga sana Hilo bwawa la nyerere ili lisijengwe kwa kisingizio cha ukame. Cha ajabu limejaa baada ya miezi tu kinyume hata na Makamba alivosema eti misimu 2 ya mvua.Hata hilo bwawa la Nyerere walidai halitajaza maji, yaani hawa watu hata sijui shuleni walikuwa wanasoma au wanakariri. Leo hii hata ujenzi haujaisha limejaa na kutapika.
Niliwahi huandika hapa kuelezea jiografia ya nyanda za juu kusini ambapo ndipo vyanzo vya maji ya hilo bonde la mto rufiji hutoka na kuelezea kwa nini mradi wa bwawa utakuwa successful.
Tanzania tuna vyanzo vingi sana vya maji, ukienda Morogoro, Lushoto, Kilimanjaro maji yanatririrka tuu. Kote huko kuna maporomoko na kingo za asili ambazo tungeweza kabisa kutengeneza vibwawa vya kuzalisha hata 200MW kwa kila bwawa.
Umeme wa jua unafaa kwa matumizi madogo madogo tuu ya nyumbani na kuendesha mitambo midogo midogo lakini sio ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa. Gharama zake ni kubwa sana, na inahitaji eneo kubwa ambalo lingeweza kutumika kwa shughuli nyingine za manendeleo.
Uganda inaweza kuingillia masuala ya marekani?? Kwani marekani ni nani aipangie africa jinsi ya kuishi?? Kwann anaingilia masuala ya sheria za nchi ili iweje sikia bro kila nchi ina sheria na tamaduni pamoja na katiba huwez kulazmisha watu waishi unavotaka ww bro lazima uheshimu maamuzi ya nchi fulani na sio kuwapangia taratibu, mbona ugaidi ukitokea hua hawafundishi nn cha kufanya mbona wakifungwa maisha haji kuwafundisha wafanye nn au haki za binaadamu?? Acheni nchi za afrika ziwe na uhuru wa maamuzi musilete haki za binaadamu kwa kificho cha ushoga na usagajiMkuu, katika hili Marekani hajakosea hata kidogo, yeye anasimamia msimamo na Imani yake Kama ambavyo Uganda inavyosimamia imani, tamaduni na msimamo wake kuhusu ushoga.
Marekani ameamua kutumia haki yake ya kikatiba ya kushirikiana au kutoshirikiana na Taifa lolote ambalo kwasababu zao wanadhani ni haki ya kufanya hivyo.
Wamarekani wameamua kutumia vikwazo Kama njia ya kupinga kile wanachoamini sio sawa kwa upande wake, hiyo ni haki Yao na hatupaswi Kulalamika, Uganda nao wanapaswa kutumia Uhuru wao kufanya lolote dhidi ya Marekani vile watakavyo kwa mujibu wa utamaduni na katiba Yao inavyowaruhusu, Marekani hapaswi kulaumiwa, Uganda haipaswi kulaumiwa, Kila mtu afanye kwa mujibu wa matakwa yake.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Because we are non aligned country hence no need of convincing us but those that choose sides alot of diplomatic effort is needed to make them favourable to Russia.Our diplomatic stand is still the same, Russia's withdrawal from Ukraine and that will never change. My point is why didn't he visit tanzakundu which likes to bootlick them!?- you are irrelevant
Ndio kwani wenyewe wanakusaidia Kwa lipi?Kwahiyo tulifanya makosa kuwasaidia waafrika wenzetu kupigana Ili kujikomboa na kurudisha utu, heshima na uhuru wa waafrika?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ngoja chakula kije tutaona hiyo diplomatic stand yenu ikojeOur diplomatic stand is still the same, Russia's withdrawal from Ukraine and that will never change. My point is why didn't he visit tanzakundu which likes to bootlick them!?- you are irrelevant

nimeshampa dawa tayari 😆😆😆😆😆 achukue kaa la moto aeke kwenye kipumulio aunguze vzr kabisa mpaka kiwe cheusi tii atakua ashajitibuNa wewe ilikuaje ukawa choko? Ni nani aliyekulazimisha?
Hawa ni watu wakuangalia mkono wenye chakula ni upiMbona hamkupiga kura tena mara ya pili wakat mara ya kwanza mulipigia kura nato na mara ya pili mukasema hamuna upande wowote why??
Au nikuletee ushahidi sasa hvi??


