Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu uraia wa Tanzania unatafutwa sn, tukizubaa tutakuja kupokea mijitu hapa ikaharibu kizazi chetu na kuleta tabia zao mbovu kama za Kenya.
Huwezi kuwa raia wa Tanzania bila kuukana uraia wa nchi yako ya awali kitu ambacho ni ngumu sana unless hao utakuta wengi wao wamelowea sana huku wengine wameoa na kuzaa huku fursa na biashara zimewafaidisha hasa hao jamii za Asia huku lakini kumiliki mali na ardhi hawawezi hivyo inabidi wawe raia

Kuhusu intelligence tuna vetting nzuri tu sema tunaidharau


Kuhusu tabia ukishakuwa Tanzania utanyooshwa tu utake usitake umekuta watu milioni 60 na ustaarabu wao itabidi uwende nao sawa hata hao watakaozaliwa watakuta tabia zetu na ndio hizo hizo wataiga ziwe mbovu au nzuri ndio hizo hizo huwezi badilisha watu million 60 ambao bado wanaendelea kuzaana na kukulia katika mazingira na tabia zile zile walizozikuta
 
20230529_203540.jpg
20230529_203538.jpg
20230529_203535.jpg
20230529_203543.jpg
 
Huwezi kuwa raia wa Tanzania bila kuukana uraia wa nchi yako ya awali kitu ambacho ni ngumu sana unless hao utakuta wengi wao wamelowea sana huku wengine wameoa na kuzaa huku fursa na biashara zimewafaidisha hasa hao jamii za Asia huku lakini kumiliki mali na ardhi hawawezi hivyo inabidi wawe raia

Kuhusu intelligence tuna vetting nzuri tu sema tunaidharau


Kuhusu tabia ukishakuwa Tanzania utanyooshwa tu utake usitake umekuta watu milioni 60 na ustaarabu wao itabidi uwende nao sawa hata hao watakaozaliwa watakuta tabia zetu na ndio hizo hizo wataiga ziwe mbovu au nzuri ndio hizo hizo huwezi badilisha watu million 60 ambao bado wanaendelea kuzaana na kukulia katika mazingira na tabia zile zile walizozikuta
Hawa Wakenya wasipewe uraia wa hii nchi, Wakenya wengi wanapambana sn kuwa Watz lkn inabidi wawekewe vikwazo vya hali ya juu kuliko raia wengine wotee
 
Wakenya 12 wameukana uraia wa Kenya na kuchukua uraia wa Tanzania, hii Wakuu imekaaje? Serikali iweke ugumu kumpa mkenya uraia sababu ni watu wasioaminika kabisa

View attachment 2639942
In descending order
India------------------(75)
Yemen----------------(43)
Pakistan---------------(22)
Kenya------------------(12)
DRC--------------------(11)
Lebanon----------------(10)
Rwanda-----------------(4)
Somalia-----------------(4)
Afrika kusini--------------(3)
Lithuania-----------------(2)
China--------------------(2)
Ugiriki--------------------(2)
Uingereza-----------------(2)
Uswizi---------------------(2)
Zambia-------------------(2)
Zimbabwe-----------------(2)
Cameroon-----------------(1)
Cuba----------------------(1)
Japan---------------------(1)
Oman---------------------(1)
Palestina-------------------(1)
Sierra Leone----------------(1)
 
Kimewaramba, tanzakundu has two ports(all) either funded or operated by the Chinese.
IMG_20230530_084722.JPG
 
Kenya voted to condemn Russias invasion of Ukraine at the UN but still their top diplomat was in Nairobi yesterday for bilateral talks. Tanzakundu abstained the vote
May 29
⚡🇷🇺 Russian Foreign Minister Sergey Lavrov holds a meeting with the leadership of the Parliament of 🇰🇪 kenya in Nairobi
IMG_20230530_090620.jpg
 
Kenya voted to condemn Russias invasion of Ukraine at the UN but still their top diplomat was in Nairobi yesterday for bilateral talks. Tanzakundu abstained the vote
May 29
⚡🇷🇺 Russian Foreign Minister Sergey Lavrov holds a meeting with the leadership of the Parliament of 🇰🇪 kenya in Nairobi
View attachment 2640011
Hapo wote ni viongozi wa failed states 😄😄
 
Wakenya 12 wameukana uraia wa Kenya na kuchukua uraia wa Tanzania, hii Wakuu imekaaje? Serikali iweke ugumu kumpa mkenya uraia sababu ni watu wasioaminika kabisa

View attachment 2639942

Usiwe na Wasiwasi mkuu, mtu mmoja mwenye tabia mbovu akikaa Kwenye kundi la watu ishirini wenye tabia njema ni lazima tu huyo mtu mmoja ata adopt tabia njema ili aendane na hao ishirini.
 
Kenya voted to condemn Russias invasion of Ukraine at the UN but still their top diplomat was in Nairobi yesterday for bilateral talks. Tanzakundu abstained the vote
May 29
⚡🇷🇺 Russian Foreign Minister Sergey Lavrov holds a meeting with the leadership of the Parliament of 🇰🇪 kenya in Nairobi
View attachment 2640011
Leo hii mumawashabikia russia wakat mulikua watu wa kwanza kuwakana 😆😆😆😆
kama asali ni chungu shubiri ina ladha gani.... Nimeamini
 
Back
Top Bottom