Sayansi mpaka leo imeshindwa kutoa jibu la tiba za magonjwa mengi tu mfano HIV, sayansi mpaka leo imefeli kutambua rangi ya upepo na wala shepu ya upepo, sayansi imeshindwa kutambua kwann kuna usiku, kwann kuna mchana na kivipi dunia inajiendesha kwa system kwamba miaka nenda rudi inajiendesha hvyo hvyo.
Sayansi imeshindwa kutambua chimbuko la mwanadamu ni nini, wanabaki kuongopa eti ni nyani, haya uyo nyani naye chimbuko lake ni wapi? Majibu hakuna.
Tuende mbele turudi nyuma japo sayansi tunaikubali mana nayo imetupa maendeleo fulani japo siyo makubwa kivile lkn kuna kitu fulani kipo nyuma ya pazia ambaye ndiye Mungu, uhai usitupe kiburi cha kuanza kuhoji uwepo wa muumba wetu.
Ok, mm sio mtu wa udini udini na huwa sipendi sana mijadala ya kidini lkn nina imani kubwa sana na muumba mana nikijiangalia tu naona nguvu yake, hata kama sio Mungu lkn huyo mwenye uwezo wa kuifanya dunia hivi ilivyo ndiyo kwangu namuita Mungu na hakuna cha kunirudisha nyuma, nitapinga ushoga, nitapinga ushenzi wowote ule kwa imani yangu.