Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duuhhh, tangu nizaliwe sijawahi kuona barabara kama hii kwa macho yangu, Kenya kila kitu kinawezekana aisee
Hahaha hizo street lights umeziona kwanza? 😅😅😅😅

Screenshot_20230529-221605.jpg
 
Hizo Mara nyingi ni storI za kufungulia maji halafu yatoke usiku,kesho yake wanasema ukame.Wanafanya yote hayo kuihujumu Nchi. Hebu fikiria,miaka michache nyuma stories za ukame ziliisha na mgao wa umeme hatukuusikia. Leo hii mambo ni ya Ajabu, umeme unakatika kila siku.

Najua watanzania tumerogwa, aliyeturoga tunamjua,na kibaya hata kupiga kelele tu hamtaki.

Hilo bwawa la Ruffiji halitoshi, labda yangejengwa matano kama hayo.
Vibwawa vingine umevitaja hata haviwezi kuwasha kiwanda,ni vidogo Mno.
Hata hilo bwawa la Nyerere walidai halitajaza maji, yaani hawa watu hata sijui shuleni walikuwa wanasoma au wanakariri. Leo hii hata ujenzi haujaisha limejaa na kutapika.

Niliwahi huandika hapa kuelezea jiografia ya nyanda za juu kusini ambapo ndipo vyanzo vya maji ya hilo bonde la mto rufiji hutoka na kuelezea kwa nini mradi wa bwawa utakuwa successful.

Tanzania tuna vyanzo vingi sana vya maji, ukienda Morogoro, Lushoto, Kilimanjaro maji yanatririrka tuu. Kote huko kuna maporomoko na kingo za asili ambazo tungeweza kabisa kutengeneza vibwawa vya kuzalisha hata 200MW kwa kila bwawa.

Umeme wa jua unafaa kwa matumizi madogo madogo tuu ya nyumbani na kuendesha mitambo midogo midogo lakini sio ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa. Gharama zake ni kubwa sana, na inahitaji eneo kubwa ambalo lingeweza kutumika kwa shughuli nyingine za manendeleo.
 
Ina mawimbi hatari. Na sababu ni zilezile😂😂😂;
1. Low skills
2. High taxation
3. Poor education and incompetence
4. Lack of fund and poor gvt support
5. Corruption
6. Colonization
Hao ndio maengineer wa kundustan,vitu vyenye ubora watoe wapi
 

Attachments

  • TikTok_7238470466732625158.mp4
    540.4 KB
Back
Top Bottom