chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,315
- 45,115
Hahaha hizo street lights umeziona kwanza? 😅😅😅😅Duuhhh, tangu nizaliwe sijawahi kuona barabara kama hii kwa macho yangu, Kenya kila kitu kinawezekana aisee![]()
Hahaha hizo street lights umeziona kwanza? 😅😅😅😅Duuhhh, tangu nizaliwe sijawahi kuona barabara kama hii kwa macho yangu, Kenya kila kitu kinawezekana aisee![]()
😆😆😆😆
Hii ni barabara au mto?😅Ilipimwa na mlevi 😂😂😂 budget iliojenga hapo ukitajiwa utashangaa, taratibu naanza kuona zile $68B debt zilipoenda 😂😂😂
View attachment 2639641
Hizi gorofa za udongo usiwe unaweka humu
Hawa civil engineers wa humu JF aka wazee wa canopy mbona wako kimya sana

Hata hilo bwawa la Nyerere walidai halitajaza maji, yaani hawa watu hata sijui shuleni walikuwa wanasoma au wanakariri. Leo hii hata ujenzi haujaisha limejaa na kutapika.Hizo Mara nyingi ni storI za kufungulia maji halafu yatoke usiku,kesho yake wanasema ukame.Wanafanya yote hayo kuihujumu Nchi. Hebu fikiria,miaka michache nyuma stories za ukame ziliisha na mgao wa umeme hatukuusikia. Leo hii mambo ni ya Ajabu, umeme unakatika kila siku.
Najua watanzania tumerogwa, aliyeturoga tunamjua,na kibaya hata kupiga kelele tu hamtaki.
Hilo bwawa la Ruffiji halitoshi, labda yangejengwa matano kama hayo.
Vibwawa vingine umevitaja hata haviwezi kuwasha kiwanda,ni vidogo Mno.
Tembea Kisumu City.....Hizi gorofa za udongo usiwe unaweka humu
Inabidi wafunge mdomo🤣🤣Hawa civil engineers wa humu JF aka wazee wa canopy mbona wako kimya sana![]()
Kote mkuu kwa sisi watumiaji wa app.Hivi hili tatizo la kutokufunguka kwa picha ni kwangu tuu au na kwenu pia ndugu zangu?
There's nothing beautiful I can see ..
Kisumu hakuna magari?
Tunawapa Wapakistan, Wayemeni na Walebanon uraia? Hivi intelligence yetu ipo wapi? imelala?Wakenya 12 wameukana uraia wa Kenya na kuchukua uraia wa Tanzania, hii Wakuu imekaaje? Serikali iweke ugumu kumpa mkenya uraia sababu ni watu wasioaminika kabisa
View attachment 2639942
Wameununua, Urefu wa kambaTunawapa Wapakistan, Wayemeni na Walebanon uraia? Hivi intelligence yetu ipo wapi? imelala?
Hawa tukiwachekea watakuja kujazana hapa kwetu na kuharibu ustaarabu mzr wakuzaliwa wa mtz.Wakenya 12 wameukana uraia wa Kenya na kuchukua uraia wa Tanzania, hii Wakuu imekaaje? Serikali iweke ugumu kumpa mkenya uraia sababu ni watu wasioaminika kabisa
View attachment 2639942
Huu uraia wa Tanzania unatafutwa sn, tukizubaa tutakuja kupokea mijitu hapa ikaharibu kizazi chetu na kuleta tabia zao mbovu kama za Kenya.Tunawapa Wapakistan, Wayemeni na Walebanon uraia? Hivi intelligence yetu ipo wapi? imelala?
Hao ndio maengineer wa kundustan,vitu vyenye ubora watoe wapiIna mawimbi hatari. Na sababu ni zilezile😂😂😂;
1. Low skills
2. High taxation
3. Poor education and incompetence
4. Lack of fund and poor gvt support
5. Corruption
6. Colonization