Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why should we protest while all basic needs are affordable?
ndo maana nasema watanzania ni matajiri hawahitaji kuprotest ndo maana omba omba watanzania wamejaa Kenya kwa mabarabara wakiomba na pia Tanzania ni LDC country. Hamuhitaji kuprotest nyinyi
France na USA ni first world counries lakini wanaproest kwa kitu ambacho hawakipendi
 
Unless you have zero idea of what is dictatorship.

Since independence, Kenyan politics, land and jobs in all governmental institutions have been under a full dominion of major tribes - Kikuyu and Kalenjin in particular.

Nitajie rais aliyetoka nje ya makabila hayo mawili tangu 1960s?
Mna hali mbaya sana.
Kalenjins is made up of more than 10 sub tribes.... next quesion
 
Protesting is your fundamental right because your demands are very basic. Imagine, living in a country where a decent meal a day is luxury.

Statistics show that, eight (8) our of every ten (10) Kenyans go to bed either hungry or never having had enough to eat. If I were one of the people living such a destitute life, I wouldn't have ended up running around the street like a madman and go to sleep hungry again.

Ndio maana nawaona nyie hamna akili! Hakuna chochote mlichokisolve zaidi ya kuumia na kuumizana.
But Kenya is still richer than Tanzania in any dimesion measurable... means Tanzanians are living a worser life than Kenyans nowonder we have Tanzanina beggars in Kenyans streets and not the vice-versa
 
🤣🤣 Nicxie, hujui kila kitu kumbe .. hicho ni Kiswahili sanifu mzee sina athari yoyote inayotokana na lugha mama.. nilikwambia pumzika kwanza unatoa sana boko
Mimi najua pilika pilika. hiyo nyingine labda ni kisukuma
 
Inaonekana Tanzania inampango wa kuwa donor country ukanda wote wa East and Central Africa.. ukiachana na SINOTAN INDUSTRIAL PARK kuna industrial park nyingine mpyaa hapo mjini MLANDIZI kwa jina la KAMAKA INDUSTRIAL PARK, jamaa ni mtanzania, yeye atawekeza $48 million .. maelezo yote pita chini hapo 👇. Tunaendelea kinoma noma
 
Mimi najua pilika pilika. hiyo nyingine labda ni kisukuma
🤣🤣 Sio pilika pilika, ni pirika pirika.. kwa watu wenye shida ya kutofatisha L na R ndio wanasema pilika pilika, Ila kiswahili fasaha ni pirika pirika.. mimi sina shida kwenye mother tongue lil man ..
 
Eastleigh and the imposing BBS Mall
IMG_20230322_205115.jpg
IMG_20230322_205121.jpg
IMG_20230322_205138.jpg
IMG_20230322_205345.jpg
 
🤣🤣 Sio pilika pilika, ni pirika pirika.. kwa watu wenye shida ya kutofatisha L na R ndio wanasema pilika pilika, Ila kiswahili fasaha ni pirika pirika.. mimi sina shida kwenye mother tongue lil man ..
Screenshot_20230322-211929~2.png
 
Back
Top Bottom