Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

South C is a beehive of activities. View attachment 2561923
Samahani kwa swali Boss, kwani ninyi Wakenya kipaumbele chenu katika kujenga uchumi imara wa nchi ni maghorofa? Samahani lkn mana sielewi elewi hii battle wengine wakionyesha miundombinu muhimu kama barabara, viwanda, reli, hospitali, shule, mashamba n.k wengine wanaonyesha maghorofa, samahani kwa swali langu lisieleweke vibaya japo maghorofa nayo muhimu ila sidhani kama ni muhimu sana kwa maendeleo ya uchumi wa nchi.
 
Sio pilika pilika, ni pirika pirika.. kwa watu wenye shida ya kutofatisha L na R ndio wanasema pilika pilika, Ila kiswahili fasaha ni pirika pirika.. mimi sina shida kwenye mother tongue lil man ..
Mm nadhani hata yeye pia yuko sahihi inategemea na anapotoka wanatafsiri vipi.
 
Inaonekana Tanzania inampango wa kuwa donor country ukanda wote wa East and Central Africa.. ukiachana na SINOTAN INDUSTRIAL PARK kuna industrial park nyingine mpyaa hapo mjini MLANDIZI kwa jina la KAMAKA INDUSTRIAL PARK, jamaa ni mtanzania, yeye atawekeza $48 million .. maelezo yote pita chini hapo 👇. Tunaendelea kinoma noma

Yani hizi vitu ndio mmeamua kuvi9na leo? 😂😂
Alafu tukisema we are not on the same level mnasema ni dharau

INFINITY INSUSTRIAL PARK
images - 2023-03-22T213944.323.jpeg
images - 2023-03-22T214648.573.jpeg
images - 2023-03-22T214623.637.jpeg
images - 2023-03-22T214604.656.jpeg
images - 2023-03-22T214518.559.jpeg


NAIROBI GATE INDUSTRIAL PARK
images - 2023-03-22T214906.063.jpeg
images - 2023-03-22T214920.209.jpeg
images - 2023-03-22T215054.403.jpeg
images - 2023-03-22T214931.907.jpeg
images - 2023-03-22T214951.405.jpeg
images - 2023-03-22T215007.906.jpeg
images - 2023-03-22T215035.666.jpeg


SAMEER INDUSTRIAL PARK
images - 2023-03-22T215516.370.jpeg
images - 2023-03-22T215751.904.jpeg
images - 2023-03-22T215534.065.jpeg
images - 2023-03-22T215607.274.jpeg
images - 2023-03-22T215646.796.jpeg


images - 2023-03-22T215704.876.jpeg
 
You want to tell us that all Kenyans can't control their lives, instead politicians decide for them?.

Kenyans embrace tribalism than any other thing, that is the core of your problem, the sooner you accept the reality and work on it, the better. Do not hide your head below the sand.

Tribes and tribalism are two different things, in Tanzania we have over 130 tribes, but we don't have tribalism.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The same way you look our issues of governance through tribalism is the same way we look of ur governance through only one party CCM. Uzuri au ubaya ni kila mtu anajua ya kwake. As have told you sisi bargaining of national cake is done through our origin of blocs & the population. We can't bury our head in the sand and assume we don't have tribes. Kila kabila lazima napenda la kwao kwanza kisha tuna negotiations na yule ambaye ana self ideology kama wewe in the grassroots level. Kwa hvyo siasa yetu ni local, its politicians who cause friction between masses.
 
Mm nadhani hata yeye pia yuko sahihi inategemea na anapotoka wanatafsiri vipi.
Street hawker, kuna ufasaha wa lugha na kuna namna ya tafsiri ya lugha kutokana na mazingira, hivyo ni vitu viwili tofauti, wacha kuwa mpumbavu..

Unaweza kutafsiri/kutamka neno vyovyote unavyoweza lakini ipo namna sahihi ya kutamka neno hilo au ipo tafsiri sahihi ya neno hilo.. sisi waTz ndio wenye lugha ya kiswahili na tunakijua haswaa pasi na shaka, ndio tupangiwe namna ya matamshi ya lugha yetu.? (Ingawa wapo miongoni mwetu ambao matamshi yao yameathiriwa na mother tongue) tupangiwe tafsiri ya maneno katika lugha yetu.? 🤣🤣🤣 Na watu ambao lugha hawaijui ..

U must be fucking crazy..
 
🤣🤣🤣 Unaleta kulinganisha industrial Park zenye viwanda zaidi ya 200 each vs hivi viwanda kumi vyenye umepost...?
 
Back
Top Bottom