Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikisema kwamba nyinyi hakuna mnachojua zaidi ya kupiga domo. Kenyans are protesting against high cost of living. Wewe upo Tandale mimi nipo Kenya alafu sasa unajifanya unajua zaidi kuniliko mimi mkenya!
🤣🤣🤣 Ukikubali ukweli wala hutokufa, tunajua kila kitu hadi kufikia kuandamana nyie wapumbavu wa hii region, mtu mmoja kule Twitter alipost ku expose ujinga wa wakenya wengi wazembe mnaoamini kwenye kupewa pesa na serikali badala ya kilimo 👇
Screenshot_20230321-143312_1.jpg
.. shida ni unga wa ugali.. ukiendelea kubisha nitakuletea video za Insta za Erick akiwaita maskini wa Kenya kufuata unga wa ugali.. kaa kimya tafadhali 🤣🤣🤣
 
Wacha niingie kuoga nipoe kwanza kwa pirika pirika za kutwa nzima then nitakurudia nikupe za uso Nicxie usiende mbali.. 🤣🤣
 
🤣🤣 We ni mpumbavu tu mmoja kumbe .. hata democracy enyewe umesoma mpumbavu wewe.? 🤣🤣 kama kuna human rights violation we jua tu hapo hakuna democracy young bro.. pitia hii 👇 nimekusaidia View attachment 2561802View attachment 2561803we jamaa pumzika kwanza. Unatoa maboko tu 🤣🤣
That's the relationship between the two. Does not mean one defines the other.

Democracy simply means power of the people. It is a form of government in which power is vested on the people, not a few individuals, and exercised by them or people they've put in office. Si lazima ulete ushindani kwenye kila jambo
 
CAF CLUB RANKING 2023


VILABU BORA KATIKA SOKA AFRIKA

01. 🅿️ 64 - 🇲🇦 Wydad Casablanca.

02. 🅿️ 63 - 🇪🇬 Al Ahly.

03. 🅿️ 51 - 🇲🇦 Raja Casablanca.

04. 🅿️ 51 - 🇹🇳 Esperance.

05. 🅿️ 46 - 🇿🇦 Mamelodi Sundowns.

06. 🅿️ 37 - 🇲🇦 RS Berkane.

07. 🅿️ 36 - 🇩🇿 Cr Belouizdad.

08. 🅿️ 35 - 🇹🇿 Simba SC.

09. 🅿️ 34 - 🇪🇬 Zamalek.

10. 🅿️ 31 - 🇩🇿 JS Kabylie

11. 🅿️ 30.5 - 🇨🇩 Tp Mazembe.

12. 🅿️ 30 - 🇪🇬 Pyramids.

13. 🅿️ 28.5 - 🇦🇴 Petro De Luanda.

14. 🅿️ 24 - 🇬🇳 Horoya AC.
🅿️ 24 - 🇿🇦 Orlando Pirates.

15. 🅿️ 23 - 🇸🇩 Al Hilal
16. 🅿️ 20 - 🇹🇳 Etoile Du Sahel.

17. 🅿️ 19 - 🇩🇿 ES Setif.

19. 🅿️ 16 - 🇨🇲 Coton sport.

20. 🅿️ 15 - 🇨🇮 ASEC Mimosas.

🅿️ 15 - 🇿🇦 Kaizer Chiefs.

21. 🅿️ 14 - 🇨🇩 AS Vita club.

22. 🅿️ 12 - 🇸🇩 Merrikh
🅿️ 12 - 🇱🇾 Al Ahly Tripoli.
🅿️ 12 - 🇪🇬 Al Masry

23. 🅿️ 10 - 🇹🇿 Young Africans.
🅿️ 10 - 🇲🇦 FAR Rabat.
🅿️ 10 - 🇳🇬 Rivers United.
🅿️ 10 - 🇿🇦 Marumo Gallants.
🅿️ 10 - 🇹🇳 US Monastir

24. 🅿️ 09 - 🇩🇿 MC Alger.
25. 🅿️ 08 - 🇱🇾 Al Ittihad.

NB
Klabu zitakazofanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya (CAF) zitaongeza pointi (5) zingine.

Al Ahly kashuka kutoka 1 hadi 2.
 
Kuathirika na lugha ya mama si kiswahili sanifu bongolala
🤣🤣 Nicxie, hujui kila kitu kumbe .. hicho ni Kiswahili sanifu mzee sina athari yoyote inayotokana na lugha mama.. nilikwambia pumzika kwanza unatoa sana boko
 
That's the relationship between the two. Does not mean one defines the other.

Democracy simply means power of the people. It is a form of government in which power is vested on the people, not a few individuals, and exercised by them or people they've put in office. Si lazima ulete ushindani kwenye kila jambo
🤣🤣 Kumbe we jamaa ni kichwa hamna, hujui kila kitu 🤣🤣🤣. Heb tuambie unajua nini Ili tujibizane na wewe upande huo..
 
France wana protest bei ya unga?
Know your lane

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unga sio staple food ya France lakini wanaprotest sababu ya high cost of living which includes basic commodities zenye equivalence ya unga huko kwao
 
Back
Top Bottom