Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekuelewa kaka, tatizo halipo kwenye ligi wala kuwa na wachezaji wageni bali timu ya Taifa. Kwa hoja yako hiyo ya competence, inakuwaje nchi za Afrika Magharibi zenye ligi mbovu kuweza kufanya vizuri kwenye timu zao za taifa?
Kuna rushwa kubqwa inaendelea pale TFF katika kuajiri makocha na serikali wapo wapo tu. Huyu Kocha mpya alikuwa akifundisha Burundi kashindwa, Kaenda Kenya, wakapigwa na Lesotho akatimuliwa, kaenda Botswana wakapigwa na Malawi, pia alikuwapo Congo nako alifeli vibaya. Hapa ametoka Asia hukoalipokuwa akifundisha, na kapoteza mechi karibia zote.

Kipindi pekee pale TFF kuwekuwa na uchaguzi wa kocha mzuri ni kipindi cha Leordega Tenga, lakini kwa bahati mbaya, ligi yetu ilikuwa bado mbovu.

Tafuta mechi yeyote ya Kocha Jan Poulsen akiwa Taifa Stars, huyu alikuwa benchi la ufundi Dermark walipochukua Uero.

 
Sisi tulipiga sana makelele alipoteuliwa Amunike na makocha wengine hovyo hovyo. Amunike aliletwa taifa Stars akitokea kwenye Ligi ya Sudan ambapo timu ailipoteza mechi karibia zote akatimuliwa. The wakamleta kocha Ndairagije toka Burundi, kweli?





Angalia timu kama Congo DRC, angalia type ya makocha wanachukua na timu kama Nigeria. Kocha wa makipa wa Nigeria kwa sasa ni Kocha wa Chelsea wa makipa.


Chamoto
 

Attachments

  • 1679431594915.gif
    1679431594915.gif
    42 bytes · Views: 20
Anajua maana ya protectorate huyo. We were never a British colony hence there was no need to fight for our independence. We just took back our country.
Tuliijenga nchi yetu wenyewe, waingereza hawakufanya investment yoyote ya maana zaidi ya kujenga kipande cha reli Tabora - Mwanza ili waweze kuhamisha mali za Tanganyika kwenda Kenya /Uganda kupitia ziwa victoria.
 
Akili gani huku umenyimwa media freedom na freedoms zingine za kimsingi?? We acha mwenye akili ni yule anayefahamu haki zake na yuko radi kupigania haki zake zisikue trumped upon. Eti watanzania ni wastaarabu na wenye akili kwa kutoandamana [emoji23]
Eleza nchi zote duniani ambazo zinatawaliwa kwa haki na sheria hasa zilizoendelea, umeshaona maandamano yenye fujo na watu kupigwa hovyo na polisi?, taja nchi Moja tu.

Taja nchi yoyote hapa Afrika yenye maendeleo ya kidemokrasia na kiuchumi na usawa wa mgawanyo wa Mali na uongozi wa serikali ambayo inakumbwa na maandamano Kila mwaka.

South Afrika ni "unique" kutokana na "Economic inequalities among it's people". Kumbuka SouthAfrika ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa "economic inequalities".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania sasa mpo obsessed na kenya. Nyuzi zaidi ya 20 kuhusu maandamano ya kenya na hakuna hata moja imefunguliwa na mkenya
 
Back
Top Bottom