Roho yangu mbaya
Senior Member
- Mar 22, 2021
- 168
- 297
Ngoja niwarudishe darasani kidogo.
UBEPARI NI NINI?
Ubepari ni pale ambapo uchumi wa nchi unashikiliwa na watu ambapo bei za bidhaa katika nchi za kibepari zinajipanga zenyewe, yani kwa mfano wewe una shamba la nyanya
alafu ukavuna mazao yako baada ya hapo unaweza ukayapeleka sokoni na kuuza kwa bei unayotaka wewe pasipo kuingiliwa na mtu yeyote. Bei ya bidhaa katika ubepari huwa inajipanga yenyewe by the force of demand and supply, hakuna mtu wa kupanga bei na ndiyo maana huwezi kusikia nchi za kibepari zinaandamana kisa gharama za maisha kuwa juu. Gharama za maisha zikiwa juu katika nchi za kibepari unatakiwa kufanya sana kazi ili ziwe chini, hakuna wa kumlilia kwenye nchi za kibepari mana uchumi haupo mikononi mwa serikali.
UJAMAA NI NINI?
Ujamaa ni pale ambapo uchumi wa nchi unashikiliwa na serikali yani bei za bidhaa katika nchi za kijamaa huwa zinaweza kuingiliwa na serikali, kama bei za bidhaa zikipanda hovyo hovyo raia wa nchi za kijamaa wanaruhusiwa kui question serikali, maana serikali ndiyo imeshikilia uchumi wa nchi za kijamaa. Katika nchi za kijamaa huwezi kuamka tu na kusema bei ya sukari ni shilingi elfu kumi kwa kilo badala ya elfu tatu.
Swali linakuja, je hawa mazinjathropus wapo katika uchumi upi kati ya hizo mbili nilizozielezea hapo juu.
UBEPARI NI NINI?
Ubepari ni pale ambapo uchumi wa nchi unashikiliwa na watu ambapo bei za bidhaa katika nchi za kibepari zinajipanga zenyewe, yani kwa mfano wewe una shamba la nyanya
alafu ukavuna mazao yako baada ya hapo unaweza ukayapeleka sokoni na kuuza kwa bei unayotaka wewe pasipo kuingiliwa na mtu yeyote. Bei ya bidhaa katika ubepari huwa inajipanga yenyewe by the force of demand and supply, hakuna mtu wa kupanga bei na ndiyo maana huwezi kusikia nchi za kibepari zinaandamana kisa gharama za maisha kuwa juu. Gharama za maisha zikiwa juu katika nchi za kibepari unatakiwa kufanya sana kazi ili ziwe chini, hakuna wa kumlilia kwenye nchi za kibepari mana uchumi haupo mikononi mwa serikali.UJAMAA NI NINI?
Ujamaa ni pale ambapo uchumi wa nchi unashikiliwa na serikali yani bei za bidhaa katika nchi za kijamaa huwa zinaweza kuingiliwa na serikali, kama bei za bidhaa zikipanda hovyo hovyo raia wa nchi za kijamaa wanaruhusiwa kui question serikali, maana serikali ndiyo imeshikilia uchumi wa nchi za kijamaa. Katika nchi za kijamaa huwezi kuamka tu na kusema bei ya sukari ni shilingi elfu kumi kwa kilo badala ya elfu tatu.
Swali linakuja, je hawa mazinjathropus wapo katika uchumi upi kati ya hizo mbili nilizozielezea hapo juu.

