Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

She is not a Kenyan, she is in Kenya looking for opportunities, there are many Kenyans in Diaspora who own business, but they are not citizens of those countries, good example is Moses Kuria, who used to own a company in Saudia Arabia for almost a decade.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
There are 5 Kenyans on that list, why are you focussing on that one lady?
 
Wao wanaonesha kibarabara kimoja tu sisi tupo na mambo mengi tofuati tofauti.
IMG_20230306_211708.jpg
 
Sote tunakujua wewe ni mwamba wa comedy. Hakuna mtu anakuwa serious unapoweka comments zako. Maana comments zako ni vituko na vichekesho.
Unafikiri mimi ni kama wewe who thrives on empty rhetoric? I hope you have enough bundles
 
Baba huwa hajitangazi. Ukiona baba anajitangaza kwa watoto ujue huyo ni maskini au baba wa kambo.
Baba huwa anaonesha:-
1. BRT
2. Beaches
3. Electrified SGR
4. Marine transport
5. Government city
6. Best State house
7. Big hydropower dam
8. No hunger.

Tell me how kenya can be baba wa east africa while her citzens are starving.
Kenya is just a country.
But Tanzania is both a country and a nation.
Modern bus terminals, modern airports, modern football stadiums the list is long.
 
Nimependa kuskia now 1 dollar ni 128 ksh 🤣
Nimependa kuona wakenya wanahaha kupata $
Nimependa kuskia kenya ina shortage ya oil
Nimependa kuskia infalation rate imefika 9.2%
Nimependa kuskia kenya kuna njaa ya kwenda


🤣🤣🤣🤣🤣buriani GDP tulikupenda lakini MUNGU kakupenda zaidi
20230307_055851.jpg
 
kusema ukweli Dar ya sasa sio sawa na dar ya miaka ya nyuma,kwenye hii miaka nane dar imeshoot sana yaani hata ukiangalia majukwaa na media mbalimbali za kimataifa zinavyoizungumzia dar ya sasa lazima ujihisi fahari aisee,,yaani sahivi watanzania tunajiamini kabisa kuingia google na kutafuta "most developed african cities" unaikuta dar kwenye namba za mwanzo kabisa,,
Binafsi nisiwe mnafiki,nampongeza sana JPM maana emetuheshimisha sana,miradi aliyoifanya na aliyoiacha ndo inatuweka kwenye map hadi leo
Umezunguka lakini yote ulitaka kumsifia tu JPM.Sio sawa kumsifia tu mtu mmoja wakati mji umeanza kujengwa karibu Karne moja iliyopita Kila kipindi kitaweka Alama yake mfano wakati wa JK ndio tulishuhudia majengo marefu zaidi mfano TPA,PSSSF twin tower,NSSF ilala,tukaona BRT mambo,akanzisha mipango ya Flyover za TAZARA na Ubungo nk...DAR Yale haitafanana na Dar ya
Huyu Profesa wa umeme si alikuwa mpinga sera za Magu, mbona sasa anajidai na kazi za Magu?
Magu sio Rais wa Sasa lakini.Zama za Magu zimepita na Prodessa anatimiza jukumu alilopewa.
 
Magu sio Rais wa Sasa lakini.Zama za Magu zimepita na Prodessa anatimiza jukumu alilopewa.
kaka, unataka tuzike na maono Magu? Huyo profesa kama kweli angekuwa "true to himself" angekataa kwenda hapo bwawani, kwasababu alimpinga sana Magu.

Usichoke kusikia Magu akitajwa, kumbuka "Great ideas never die so easily they have a tendency of keeping on nagging" - J K Nyerere
 
Baba huwa hajitangazi. Ukiona baba anajitangaza kwa watoto ujue huyo ni maskini au baba wa kambo.
Baba huwa anaonesha:-
1. BRT
2. Beaches
3. Electrified SGR
4. Marine transport
5. Government city
6. Best State house
7. Big hydropower dam
8. No hunger.

Tell me how kenya can be baba wa east africa while her citzens are starving.
Kenya is just a country.
But Tanzania is both a country and a nation.
Pia beaches mlijenga 😂
 
Baba huwa hajitangazi. Ukiona baba anajitangaza kwa watoto ujue huyo ni maskini au baba wa kambo.
Baba huwa anaonesha:-
1. BRT
2. Beaches
3. Electrified SGR
4. Marine transport
5. Government city
6. Best State house
7. Big hydropower dam
8. No hunger.

Tell me how kenya can be baba wa east africa while her citzens are starving.
Kenya is just a country.
But Tanzania is both a country and a nation.

Everything you mentioned here is not worth mentioning, just those things can’t change a country status those are just ascetic’s
 
Back
Top Bottom