ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Picha moja imemaliza shughuli yote nairobi alaf mukikaa hapa munajidanganya nairobi ni kubwa kuliko dar 🤣🤣🤣🤣
Picha moja imemaliza shughuli yote nairobi alaf mukikaa hapa munajidanganya nairobi ni kubwa kuliko dar 🤣🤣🤣🤣
Hii idea itakuja kumpa heshma sana bashe ikienda vizur na kuwa endelevu hii ndio dawa ya ajira na kupunguza umaskini zaidi zaidi kuproduce mazao ya kuuza level za kidunia...Unaacha kuiga vitu vizuri kama hizi ili upambane na njaa, badala yake unawakopesha wananchi jero jero eti “hasola fandi”
evidence? Na wapi gas storage ya 30 mln tonnes ya Oryx?Sasa unataka kusema Taifa gas kamzidi Oryx gas kwa market share? Saa ingine usidandie mjadala bila kuelewa kilichoandikwa kwanza. Oryx ana command almost 50% ya gas market in Tanzania hivyo Taifa gas ni cha mtoto kwa Oryx gas.
Ukweli upi?, nani asiyejua kwamba GDP ya Kenya ni kubwa?, Labda ukweli ni huo kwa Tanzania kutoa kazi kwa kampuni ya Kenya, hilo ndio kosa.Already Watanzania wengi wana chuki dhidi ya Kenya wewe ukiwa mmoja wao. Hilo tunajua bali hapa tunaongelea ukweli aliosema ambao wengine wenu hamtaki kuuskia.
Kwasababu Tanzania ndiyo inayoshikilia uchumi wa KenyaWhy would you want Kenyan media to cover Tanzanian news? Alafu tuliwaambia mnatuwaza mnakana.![]()
Giants wagani na gas yote haifikii 1/2 ya consumption ya KEnya!!!!O gas
Cam gas
Oryx
Puma gas
Lake gas
Taifa gas
Manjis gas
KMJ
Ham gas
Etc na wote ni giants na ni washindani wakubwa sana huyo hajui lolote kuhusu tanzania 🤣🤣🤣🤣
Kwa vile nyinyi muna consumption gani?? Ikiwa over 70% bado wanatumia kuni na mkaa itakua ngap ?? 🤣🤣🤣 na taifa gas ndio kaja kuua kampuni zenu zote na naomba mununue taifa gas plz 😁Giants wagani na gas yote haifikii 1/2 ya consumption ya KEnya!!!!
Kwa market share, Taifa Gas ni mdogo sana, ndo kaanza juzijuzi kwa kuinunua Mihanzi Gas. Lkn kwa investment (au business expansion na marketing) anayoifanya saiz ni kubwa kuliko hao wengine (lkn usidhan hao wengine nao wamekaa tu kama mazoba wanamuachia Taifa Gas atanuke zaid, saiz naona Puma nae kaingia mzigon na kampuni yake PumaGas), lkn kiufupi market share yake bado ni ndogo sana.. itakuwa kubwa baadae baada ya matokeo ya investment au marketing yake kuonekana, watu wengi tu including nyumban kwangu bado tunatumia Oryx.. bado hatujaona sababu ya kutufanya tutumie Taifa Gasevidence? Na wapi gas storage ya 30 mln tonnes ya Oryx?
Picha moja imemaliza shughuli yote nairobi alaf mukikaa hapa munajidanganya nairobi ni kubwa kuliko dar 🤣🤣🤣🤣
Mm nashangaa kuona picha moja imekusanya nairobi na misitu yake kwa pamoja 🤣🤣🤣 alaf mukija hapa munashindana na dar serious???
Mihanzi au Mihan gas? Ninachosema mimi hamna kampuni inayo au inatarajia kuwa na storage capacity ya 30 mln ltrs of gas in East africa in near futire! Sasa ni kwa ufupi tu, fanyeni hivi mnipe storage capacity ya gesi ya Oryx na hao wengine!Kwa market share, Taifa Gas ni mdogo sana, ndo kaanza juzijuzi kwa kuinunua Mihanzi Gas. Lkn kwa investment (au business expansion na marketing) anayoifanya saiz ni kubwa kuliko hao wengine (lkn usidhan hao wengine nao wamekaa tu kama mazoba wanamuachia Taifa Gas atanuke zaid, saiz naona Puma nae kaingia mzigon na kampuni yake PumaGas), lkn kiufupi market share yake bado ni ndogo sana.. itakuwa kubwa baadae baada ya matokeo ya investment au marketing yake kuonekana, watu wengi tu including nyumban kwangu bado tunatumia Oryx.. bado hatujaona sababu ya kutufanya tutumie Taifa Gas
Taifa gas hana soko kubwa kwa Bongo Bro.. mostly watu wanatumia oryx hasa mikoani huko ndio kabisaMihanzi au Mihan gas? Ninachosema mimi hamna kampuni inayo au inatarajia kuwa na storage capacity ya 30 mln ltrs of gas in East africa in near futire! Sasa ni kwa ufupi tu, fanyeni hivi mnipe storage capacity ya gesi ya Oryx na hao wengine!
kusema ukweli Dar ya sasa sio sawa na dar ya miaka ya nyuma,kwenye hii miaka nane dar imeshoot sana yaani hata ukiangalia majukwaa na media mbalimbali za kimataifa zinavyoizungumzia dar ya sasa lazima ujihisi fahari aisee,,yaani sahivi watanzania tunajiamini kabisa kuingia google na kutafuta "most developed african cities" unaikuta dar kwenye namba za mwanzo kabisa,,Ilala 🤟View attachment 2538798View attachment 2538799beautful DSM
Kwani hii Chinese road inashida gani? Magari mawili tu kuyaona ni kazi. Itachukua miaka 200 jamaa kurudisha pesa yao.