Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama mjini mnajenga Huu uchafu Sasa kijijini mtakuwa na majumba?🤣🤣
View attachment 2529370

Wewe Nina uhakika kijijini mamako anaishi kwa nyumba ya tope.
I was going to tell him the same thing. Yani mtu aseme eti vijijiniwanajenga majumba makubwa wakati jijini Dar wamejaza uchafu zenye bati zilizoluwa na mchwa!😃😃😃
 
BRT lanes. Hizi lanes hata hazisemwi sana na ni ndefu sana. Hapa wamepiga ndege wawili kwa Jiwe moja.

IMG_5737.jpg

IMG_5738.jpg

IMG_5739.jpg
 
They didn't run away, they simply expanded into Tanzania and invested very little money there because of your limited purchasing power. Mention any Kenyan company that wound up its business in Kenya and came to invest in Tanzania
Kwahiyo Rostam Aziz amekimbia Tanzania?. Kwa taarifa yako, Rostam anewekeza kiasi Cha $800M Tanzania, Sasa huko Kenya ndio kwanza anataka kuwekeza $200M, tayari mnaanza kupiga kelele.
 
Nipo Kibondo, Kigoma kwenye miradi ya kikampuni chetu.. mambo ya mechanical and generator maintenance.. tumeendesha zaid ya km 1200..
Screenshot_20230304-170258_Maps.jpg
Screenshot_20230304-170557_Maps.jpg


na niwaambie ukweli, toka nimetoka Dar, sehem niliyopita kwenye vumbi/udongo ni kutoka kankoko kuja kibondo ambazo ni kama km 44.. sehem nyingine zote nimepita kwenye lami
Screenshot_20230304-170930_Maps.jpg
 
Back
Top Bottom