Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi hapa ni nchi kumi bila hata kuhesabu the tourism Giants of North Africa. Wewe leta University kumi amabazo zina specialize on Tourism and Hospitality pekee.
Top 10 tourism-ready countries in Africa | World Economic Forum
Hivi nyie hamuonagi aibu kujilinganisha na Tz kwenye vitu kama utalii?
 
Inshu ya NALA inatuacha uchi sana waTz, ukisikiliza interview nyingi za Benji Fernandes huwa always analalamika vile sisi kama nchi tuko nyuma sana ki Teknolojia hasa hizi FINTECH, imagine ameenda kuifanya Nairobi iwe makao makuu ya NALA badala ya Dar es Salaam kwa sababu ya market forces including sisi kuwa nyuma kwenye masuala hayo, na ile ni startup still anahitaji wawekezaji zaidi kwenye kampuni yake, in Eest Africa ni Burundi tu ndiyo tumewashinda, huwa nasikitika sana humu kuona waTz wenzangu wanafanya arguments based on propaganda na siyo reality.
Mkuu, duniani huwezi kufanya Kila kitu kwa wakati mmoja, nchi lazima iwe na vipaumbele vyake, hakuna nchi hata Moja duniani ambayo ipo mbele katika Kila kitu.

Tanzania na Africa kwa ujumla lazima tuanze na mambo "simple" ambayo hayahitaji Sana "HITECH", Ili kuwashirikisha watu wengi ambao Wana elimu ya kawawaida Sana.

Mkuu, bado nchi zetu hizi zinasumbuliwa na matatizo ya msingi kabisa, chakula, maradhi, upatikanaji wa maji safi, huduma za afya Bora, miundombinu ya usafirishaji, kilimo duni Cha kutegemea mvua, upungufu wa umeme wa kutosha, na ajira kwa vijana.

Anayofanya huyo Kijana wa Fernandez, sio kwamba sio muhimu, ila kwa Sasa hivi sio kipaumbele kwa Sasa, Wacha sector binafsi waingie kwa nguvu huko, serikali yetu sidhani Kama unapaswa kuilakamikia kwa Sasa.

Ngoja nikuulize swali, kwa kitendo Cha HQ ya NALA kuwa Kenya, Tanzania tumepungukiwa na lipi, hasa katika kutatua hayo niliyokutajia?
 
Mkuu, duniani huwezi kufanya Kila kitu kwa wakati mmoja, nchi lazima iwe na vipaumbele vyake, hakuna nchi hata Moja duniani ambayo ipo mbele katika Kila kitu.

Tanzania na Africa kwa ujumla lazima tuanze na mambo "simple" ambayo hayahitaji Sana "HITECH", Ili kuwashirikisha watu wengi ambao Wana elimu ya kawawaida Sana.

Mkuu, bado nchi zetu hizi zinasumbuliwa na matatizo ya msingi kabisa, chakula, maradhi, upatikanaji wa maji safi, huduma za afya Bora, miundombinu ya usafirishaji, kilimo duni Cha kutegemea mvua, upungufu wa umeme wa kutosha, na ajira kwa vijana.

Anayofanya huyo Kijana wa Fernandez, sio kwamba sio muhimu, ila kwa Sasa hivi sio kipaumbele kwa Sasa, Wacha sector binafsi waingie kwa nguvu huko, serikali yetu sidhani Kama unapaswa kuilakamikia kwa Sasa.

Ngoja nikuulize swali, kwa kitendo Cha HQ ya NALA kuwa Kenya, Tanzania tumepungukiwa na lipi, hasa katika kutatua hayo niliyokutajia?
Usitafute sababu ya kujificha kwenye udhaifu uliopo
Kijana kaeleza bayana kwamba ni vitu gani tukoviboresha tutakua vizuri ...hapa sio kukimbia tatizo ni kulikabili.kama tunaweza kujenga miundombinu ya msingi kama barabara na vituo vya kutolea huduma za afya na elimu Basi tujue pia kuna mambo kama hayo ambayo ni ya muhimu pia.
Tujipange hakuna kinachoshindikana lakini tusianze kutafuta sababu nyepesi za kutooona umuhimu kwasabu tumeshindwa kutimiza wajibu wetu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ninadhani bado hujawajua wakenya vizuri, waulize waganda watakuambia kuhusu wakenya katika biashara.

Jana ulimsikiliza vizuri Rostam Aziz alichokisema katika hotuba yake mbele ya Rutto?.

Msikilize Dangote kwanini alishindwa kuwekeza Kenya, Hivi kwanini Mo na Bakhresa hadi Leo wameshindwa kufungua viwanda Kenya lakini wameweza kufungua viwanda vikibwa South Africa na nchi zingine za Afrika hadi Ghana?.

Mkuu jipe muda uwajue wakenya kwa undani, usisikilize maneno Yao ya kujifanya wao wanata biashara huru. Fuatilia sakata la sukari, mayai na maziwa toka Uganda kwenda Kenya.
South African Breweries wenyewe walifanyiwa mbaya sana na thika plant yao mpaka ikabidi TBL ndio iingilie kati na kuwa rescue kutoka Kenya.
 
Inshu ya NALA inatuacha uchi sana waTz, ukisikiliza interview nyingi za Benji Fernandes huwa always analalamika vile sisi kama nchi tuko nyuma sana ki Teknolojia hasa hizi FINTECH, imagine ameenda kuifanya Nairobi iwe makao makuu ya NALA badala ya Dar es Salaam kwa sababu ya market forces including sisi kuwa nyuma kwenye masuala hayo, na ile ni startup still anahitaji wawekezaji zaidi kwenye kampuni yake, in Eest Africa ni Burundi tu ndiyo tumewashinda, huwa nasikitika sana humu kuona waTz wenzangu wanafanya arguments based on propaganda na siyo reality.
Tuna kazi ya kufanya japo Kuna watu watabisha..

Tulikuwa nyuma kwenye mambo mengi ikiwemo Elimu so mambo ya techs kama hizo itatuchua some time kuja kuwa vizuri
 
Usitafute sababu ya kujificha kwenye udhaifu uliopo
Kijana kaeleza bayana kwamba ni vitu gani tukoviboresha tutakua vizuri ...hapa sio kukimbia tatizo ni kulikabili.kama tunaweza kujenga miundombinu ya msingi kama barabara na vituo vya kutolea huduma za afya na elimu Basi tujue pia kuna mambo kama hayo ambayo ni ya muhimu pia.
Tujipange hakuna kinachoshindikana lakini tusianze kutafuta sababu nyepesi za kutooona umuhimu kwasabu tumeshindwa kutimiza wajibu wetu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hii tabia ya kujifanya hakuna matatizo wakati yapo ni Ujuha..

Tanzania Bado tuna kazi ya kufanya kwenye masuala mengi,mfano uchumi wa Kenya Kwa sehemu kubwa unaendeshwa na private sector ambayo kiukweli Iko vibrant kulinganisha na Tanzania.

Pia service industry kwao ni kubwa kuliko kwetu,so tukiongeza ufanisi plus resources zetu tutakuwa pazuri zaidi.
 
Mkuu, duniani huwezi kufanya Kila kitu kwa wakati mmoja, nchi lazima iwe na vipaumbele vyake, hakuna nchi hata Moja duniani ambayo ipo mbele katika Kila kitu.

Tanzania na Africa kwa ujumla lazima tuanze na mambo "simple" ambayo hayahitaji Sana "HITECH", Ili kuwashirikisha watu wengi ambao Wana elimu ya kawawaida Sana.

Mkuu, bado nchi zetu hizi zinasumbuliwa na matatizo ya msingi kabisa, chakula, maradhi, upatikanaji wa maji safi, huduma za afya Bora, miundombinu ya usafirishaji, kilimo duni Cha kutegemea mvua, upungufu wa umeme wa kutosha, na ajira kwa vijana.

Anayofanya huyo Kijana wa Fernandez, sio kwamba sio muhimu, ila kwa Sasa hivi sio kipaumbele kwa Sasa, Wacha sector binafsi waingie kwa nguvu huko, serikali yetu sidhani Kama unapaswa kuilakamikia kwa Sasa.

Ngoja nikuulize swali, kwa kitendo Cha HQ ya NALA kuwa Kenya, Tanzania tumepungukiwa na lipi, hasa katika kutatua hayo niliyokutajia?
Sasa tuko driven na ulimwengu wa Teknolojia lazima tutaendelea kufanya kazi za catch up maana hayo mambo yanategemea Elimu Bora ndio ilete innovation..

But Kwa Nchi ambazo sio resource rich lazima zitategenea hiyo innovation maana hawana option kwenye Hilo.
 
| TRIL. 70/- KUJENGA MRADI WA GESI ASILIA, NAIBU WAZIRI BYABATO AFUNGUKA

Na Frank Buliro Serikali kupitia wizara ya Nishati inatarajia kusaini mkataba wa Ujenzi wa mradi wa Kuchimba Gesi Asilia (LNG) Utakaojeengwa eneo la Bahari Kuu Kusini mwa Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam katika kikao na wadau wa sekta ya mafuta na gesi Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato amesema Mradi huo utaglalimu trilioni 70 hadi kukamilika kwake. Aidha Naibu waziri Byabato amesema mpaka sasa Umeme unaozalishwa kupitia gesi ni asilimia 60 hadi 70 sawa na megawati 1,900
 
We nawe hupendi kuelezwa ukweli uko kama jiwe .
Bure kabisa wewe

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
We jamaa ni kenyan supporter .. u ar always against Tz kila takataka discrediting Tz we unakubaliananayo hata kama huna details na hiyo takataka, u ar either an ignorant or stupid..

Ila kwa mimi nasema wewe ni KIANDE 🤣
 
Back
Top Bottom