Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vitu wakenya hawapendi kusikia.
Tumeamua kumfata 'dem' ghetoni kwake kbsa tumalize kazi

Wao wanatuletea kampuni zenye mitaji ya $200, vinajazana huku Tanzania wakijisifu.

Leo uongozi wote wa Kenya kuanzia rais na naibu wake, mawaziri, magavana na wabunge, wapo hapo kushuhudia uwekezaji wa maana, sio kufurahia malls na skyscrapers ambazo hazina msaada wote kwa wananchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
ingekuwa ni kampuni ya mzungu au mchina, tungekoma humu leo.. na vile ni largest in EA, tungeona thread kila mahali, ila kwakuwa ni ya Tanzania, wameufyata. Viva , na bado haijakolea
Tuliwaambia kama watakubali fair business with Tz basi wakubali uchumi wao kushikwa na Tz mana hapo bado Bakhressa hajaweka mkono wake, bado bidhaa za Mo zinasubiri kwa hamu mana kwa bidhaa za Mo atauza sn cz jamaa bidhaa zake nyingi huwa anauza cheap with some low quality, kwahiyo atauza sn kule mana more than 80% ya Wakenya ni fukara they can't afford to buy products zenye standard kubwa.

Matajiri watatu tu Watz wakienda kenya wanakuwa wamewekeza pesa nyingi kuliko matajiri 500 wakikenya wanaouza blue band na toothpick huku.
 
Sijaona wakunya wakifungua threads za kupongeza huo uwekezaji mkubwa….ooh nilisahau, wengi wa wakunya humu ni wafuasi wa Jaluo.
Hawawezi kufanya hivyo hata kidogo. Ila ingekuwa wao ungesikia Kenya owns your economy

Sisi huku hako ni ka insignificant kamradi in relation to magnitude of miradi inayowekezwa Tanzania.
 
Nyumba Kenya ya million 90 😂😂😂

Fpt1HItWYAAb3PT.jpeg
 
Rostam Aziz katuongezea number za FDI pale na Taifa gas. Kenya is truly the investment hub of East Africa
 
Back
Top Bottom