Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jeshi la Zima Moto na Uokozi Tanzania

Ceremonial Uniform
IMG_20220819_110833_877.jpg


Field Uniforms

FhTlMrOXEAASRD7
 
Wewe ni pimbi! Majority ya hoteli hapo Kenya tu sio wakenya. Sembuse nchi nyingine! Nyie ni mameneja kwenye gesti zenu Tu uchwara. Sijawahi kuona hoteli ya maana hapo Kenya ikiwa na bosi wa kikenya.
Umeona hoteli Gani ya maana Kenya?
 
Another Tanzanian investment in Kenya.

View attachment 2528737
Inshu ya NALA inatuacha uchi sana waTz, ukisikiliza interview nyingi za Benji Fernandes huwa always analalamika vile sisi kama nchi tuko nyuma sana ki Teknolojia hasa hizi FINTECH, imagine ameenda kuifanya Nairobi iwe makao makuu ya NALA badala ya Dar es Salaam kwa sababu ya market forces including sisi kuwa nyuma kwenye masuala hayo, na ile ni startup still anahitaji wawekezaji zaidi kwenye kampuni yake, in Eest Africa ni Burundi tu ndiyo tumewashinda, huwa nasikitika sana humu kuona waTz wenzangu wanafanya arguments based on propaganda na siyo reality.
 
Back
Top Bottom