joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hao ndivyo walivyo, kujifanya wajuaji wakati kichwani hawana akili kabisa.Wewe ndio umefunzwa leo ulikua huna ujualo
Hao ndivyo walivyo, kujifanya wajuaji wakati kichwani hawana akili kabisa.Wewe ndio umefunzwa leo ulikua huna ujualo
We jamaa unaharibu kabisaPorojo zisizo na Msingi, Mwendazake was useless na Bora kawai siti ya kuongoza malaika.
Nchi ilikuwa inaenda shimoni hii.
Just imagine mtu hajaajiri miaka 5 anasingizia kujenga Sgr sjui bwawa na blaa blaa kibao..
Kama mabwawa ,Sgr nk ndio miradi mikubwa sana how comes Sasa hivi Miradi yote inaenda , Serikali inaajiri na hakuna visingizio?
Kwani mkisema mliua uchumi na hivyo mlikuwa hamna pesa Kuna shida gani? Tutawaelewa tuu.
Vipande vyote vya Sgr Kuna Wakandarasi, Tanesco sio tuu wanajenga bwawa la Sgr Bali Kuna mamiradi mengine ya matilioni yanaendelea,Ajira Kedekede, kwenye mabarabara ndio usiseme,maji ndio kabisaa ,Afya mambo ni moto..
Huwa nacheka sana tulikuwa tunaongozwa na mtu asiyejua Uchumi ni kitu gani,looser tuu.
We jamaa una roho mbaya……😂😂😂Hii cruise ship imefika kenya jana tar 13 na imeondoka jana hiohii saa tatu usiku kwenda zanzbar.. uko tayar kusikia itakaa zanzbar kwa mda gani?
View attachment 2517373
View attachment 2517379
Mnafukuzia Tanzamia
Watu wa kisumu wakipata usafiri kama huu kwa miaka 50 ijayo wanitag plz 🤣🤣🤣
Imegonga Kwa mfupa hiyo.....!!Jamaa walivyo wezi
Kama vipi ambavyo nime blame hakufanya?We jamaa unaharibu kabisa
Jaribu kutumia akili zako sawasawa, Why your blaming JPM kwa vitu hadi ambavyo hakufanya?like seriously?Hata kama alikua Mmbaya sio kwa kumuita useless...Hakua perfect na hatawahi kuja Pres perfect ila alijitahidi sana kufanya kazi zake kala kiongozi wa nchi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Yamepita na hayupo Why you cares?Kama vipi ambavyo nime blame hakufanya?
Hakuacha kuajiri? Nikuletee majibu ya serikali japo ya juzi bungeni?
Hakuua Kilimo? Hujaona humu India imerudia soko la mbaazi? Hadi mnapeleka wajeda kusomba korosho what happened?
Hakufukuza Watumishi wa std seven Kwa kisingizio Cha vyeti Fake? Hakufukuza Wanafunzi pale Udom waliokuwa diploma ya sayansi Kwa Ajili ya shule za sekondari?
Wewe ulikuwa Nchi ipi? Ulikuwa husikii maduka kufungwa biashara kufa? Akiwa Rais what happened Kwa National housing?
Hakutuletea retention fee na kupandisha makato ya deni la bodi ya mikopo? Samia kafuta na mambo yanaenda..
Hujamsikia Mwigulu juzi Bungeni akisema Rais Alikopa pesa za masharti ya kibiashara Kwa kile kilichoitwa Vita ya Kiuchumi? Hiyo vita saizi imekoma au?
Hakuvuruga biashara na Kenya,mahindi na parachichi zetu zikawa zinaoza?
Maripoti yote ya CAG yamejaa wizi mtupu na Chini yake miradi Mingi ilipandishwa bei na imejengwa chini ya kiwango hakuna aliyethubutu Kuhoji na walio karibu kama Hawa wanaotetea humu ndio walikuwa wanufaika ,wanatakiwa kuwa jela sio Nje.
Kwanza list ni endless Mimi Huwa sisahau na sitokuja kusahau maana tuliomfahamu Toka akiwa Waziri wa Ujenzi tulionya mapema kwamba ni disasterous kwenye Uchumi wa Nchi..
Mabasi mawili...lakin hizo sifa sasaSeems PSV companies will adapt to electric buses very quicklyView attachment 2517785View attachment 2517786View attachment 2517788View attachment 2517789
....🤣 🤣 🤣 Wachana na huyo detective mwitu. Yeye hujiona mjanjez na vile ye hua fala.
Very fast, Kenya mpya is disposing all their diesel units and plans to replace them with electric units. BYD is about to eat Isuzu's big market share.Seems PSV companies will adapt to electric buses very quicklyView attachment 2517785View attachment 2517786View attachment 2517788View attachment 2517789
😂😂 Kwahzo gari mbili mlizoingiza juzi.? Kenyans bhanaVery fast, Kenya mpya is disposing all their diesel units and plans to replace them with electric units. BYD is about to eat Isuzu's big market share.
Mbili zilikua za pilot phase. Sasa kazi imeanza and investors have started purchasing the buses. Next project is setting up an assembly line for electric buses at AVA Mombasa.😂😂 Kwahzo gari mbili mlizoingiza juzi.? Kenyans bhana
😂😂😂😂 Mtaacha lini kujifurahisha nyie mbwa, failed state.Mbili zilikua za pilot phase. Sasa kazi imeanza and investors have started purchasing the buses. Next project is setting up an assembly line for electric buses at AVA Mombasa.
![]()
Kumbe Tanzania kwenye mambo ya ICT tuko nyuma sana?tunazidiwa hadi na waganda?
App ya Nala ina ofisi Nairobi, na wateja wake wengi ni wakenya...Guys tuache midomo tushughulikie izo fursa, hatuna technology kwasababu zipi?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Umekosa jibu la maana we mwehu.😂😂😂😂 Mtaacha lini kujifurahisha nyie mbwa, failed state.
Sio hadithiAcha story za vijiweni, Technology has nothing to do Kwenye hilo, wana kesi zao na BOT.