Hii safi. Almost one year laterNimesikia sehem kutoka kwa 'wakubwa' kuwa indoor arena ya Dar inajengwa kawe 😙
Hii safi. Almost one year laterNimesikia sehem kutoka kwa 'wakubwa' kuwa indoor arena ya Dar inajengwa kawe 😙
Dar Ina operate reli ya ndani ya Jiji kitambo inaitwa treni ya Mwakyembe,soon Wana launch hiyo ya pili kwenda BagamoyoA rail and Railway city are two different things you fool.
Njaa ndio kipimo cha kwanza cha umaskini duniani budaa huwez kua na nchi munayojinadi kwa GDP na watu wanakufa njaa kila mwaka haiwezekani 🤣🤣🤣🤣Hii story ya njaa isiwe kisingizio chenu everytime you are cornered. Kuna wengine wetu hatujui hata njaa ni nini. Inasikitisha kwamba licha ta yote mlionayo, millions of Tanzanians are still wallowing in poverty. Hiyo nchi yenu tukipewa na hizo rasilimali zote we can turn it upside down
Huyo jamaa ndio maana akawa zwazwa 🤣🤣🤣🤣🤣 yani nimecheka sanaDar Ina operate reli ya ndani ya Jiji kitambo inaitwa treni ya Mwakyembe,soon Wana launch hiyo ya pili kwenda Bagamoyo
I repeat, a rail line is not a railway city.Dar Ina operate reli ya ndani ya Jiji kitambo inaitwa treni ya Mwakyembe,soon Wana launch hiyo ya pili kwenda Bagamoyo
Achana naye huyo, hao wakenya ndio sababu nchi Yao ni fujo mwanzo mwisho, wamerithishwa na politicians wao, kutokukubali kushindwa hata Kama mahakama imethibitisha ushindi.We jamaa hautakubali kushindwa ... Nimekupuuza
That's a lot of commected people; they count 1 account as 1 customer, obviously in a family of 3 or 4 that means 1 accountKenya Power had 8.91 million customers as of June 2022View attachment 2517009
Sikiliza bongolala, the balance of trade between Kenya and Tanzania has always been in favour of Kenya. This is why when Magufuli roho chafu took over, he imposed so many trade barriers which affected Kenyan traders and goods entering your country. Hiyo roho chafu ilimfikisha hadi kuchoma vifaranga vya Kenya.Kawaida raw materials ziko na bei ya chini, hivyo Kama ninyi mko na viwanda vingi mlipaswa muwe na balance of trade kubwa kutuzidi.
Sikiliza wewe mnuka mavi wa Kiberal, tunawauzia bidhaa nyingi za viwandani kuwazidi
1)Vioo
2)Soft drinks(Azam joices & Energy), Mo Energy
3)Tooth paste(White dent)
4)Konyagi & Wines
5)Tranforma za umeme
6)Ceramics
7)Mbolea ya Minjingu
8)Karatasi
The list goes on.........
Wewe unadhani bullet train ni kichwa tu! 😂😂Hata kama wameita bullet je ushaziona picha kichwa kinachovuta au ww umeona mabehewa tu 😆😆😆
Umeambiwa bullet train imeagizwa na inakuja; mbona wewe nyang'au una haraka hivyo?Wewe unadhani bullet train ni kichwa tu! 😂😂
Bullet train is a whole package bongolala. Kichwa cha bullet train hakiwezitumika kwenye hizi mabehewa yenu
Sasa ushaambiwa kuna 8 set za EMU zinakuja kutoka germany ambazo zina behewa 10 kila moja bado unataka uambiwe nn 🤣🤣🤣🤣 yani unaumia kwann sasaWewe unadhani bullet train ni kichwa tu! 😂😂
Bullet train is a whole package bongolala. Kichwa cha bullet train hakiwezitumika kwenye hizi mabehewa yenu
Wewe ndio zwazwa mbonaHuyo jamaa ndio maana akawa zwazwayani nimecheka sana
Yani wanachuki alaf wanaumia sana 🤣🤣Umeambiwa bullet train imeagizwa na inakuja; mbona wewe nyang'au una haraka hivyo?
Kwani ile id yako nyingine iko wapi ?? Kwann walikupa ban 😆😆😆😆Wewe ndio zwazwa mbona
Duh!! Mzee unaelekea kuwa kichaa siyo bure. Sasa hapa unabwabwaja nini?A rail and Railway city are two different things you fool.