10 sets of EMUsSasa ushaambiwa kuna 8 set za EMU zinakuja kutoka germany ambazo zina behewa 10 kila moja bado unataka uambiwe nnyani unaumia kwann sasa
Umeambiwa na nani kama kichwa cha bullet haziwez kutumika nani kakupa hzo taarifa mama ngina au???


mkali haiwezekani, now from no where wanakuambia wanataka electric bus wakati infrastructures za ku support hizo buses hakuna, yn na uchafu ule wa ka Nairobi plus uncivilized Kenyans hizo bus wiki moja tu zitakuwa bora hata matatu