Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ushaambiwa kuna 8 set za EMU zinakuja kutoka germany ambazo zina behewa 10 kila moja bado unataka uambiwe nn yani unaumia kwann sasa

Umeambiwa na nani kama kichwa cha bullet haziwez kutumika nani kakupa hzo taarifa mama ngina au???
10 sets of EMUs
 
N wewe unaaminip hizi takataka.? .. kenya kunap technology Gani wenye wako nayo au wamegundua.?
Tz technology ipo nyuma mno mno,Utahoji hapa na una Google, search for yourself, mnasema mnipuuze ni sahihi,lakini reality haitochange.Na muendelee kupuuza hivyohivyo Watz wanaoeaeleza ukweli itawasaidia sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Tz technology ipo nyuma mno mno,Utahoji hapa na una Google, search for yourself, mnasema mnipuuze ni sahihi,lakini reality haitochange.Na muendelee kupuuza hivyohivyo Watz wanaoeaeleza ukweli itawasaidia sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwani wewe ni kitu gani Tz iko mbele, unajua hata Wakenya siku hizi wanakupuuza wanakuona hamnazo, unaongelea technology hebu niambie ni nchi gn Africa iliyoanzisha technology yoyote ile unayoijua wewe mpk useme sisi tupo nyuma wao wapo mbele. Siku hizi hata like toka kwa Wakenya hupati, wanakuona mwehu.
 
Kwani wewe ni kitu gani Tz iko mbele, unajua hata Wakenya siku hizi wanakupuuza wanakuona hamnazo, unaongelea technology hebu niambie ni nchi gn Africa iliyoanzisha technology yoyote ile unayoijua wewe mpk useme sisi tupo nyuma wao wapo mbele. Siku hizi hata like toka kwa Wakenya hupati, wanakuona mwehu.
Mimi sipo hapa kwa ajili ya likes na kutafuta marafiki, and why nikisema kitu cha ukweli instead m Google kama mnavyofanya kwemye mambo mwengine mnaanza kuzungusha sana kiswahili?
Wewe kama hupa kutafuta marafiki nadhani uko kwenye wrong thread
Google is your friend ukikitq otherwise njoo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Hata remittance waganda wanatuzidi
Tuendelee kupuuA hivi vitu vidogovidogo zikija cumulative reports hapa mnasema data zinapikwa
20230215_070616.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, wewe vipi?, bado unazungumza mambo ya zamani kabla Magufuli hajafa?, Sisi tunazungumza kuanzia 2021 hadi Leo baada ya kuondoka Magufuli, Hali hivi Sasa tunawapelekesha Sana,.

By the way "is Rice a raw materials?", Mnatengeneza nini kutokana na Mchele?,

Sisi tunawauzia bidhaa muhimu zenye kuokoa maisha ya watu, bidhaa zetu zikikosekana uchumi wenu unayumba, au kunaweza kutokea "Civil unrest", ninyi mnatuletea sabuni
Kwenye supermarkets zao zote kumejaa mchele wa Tanzania halafu wanakuambia hii ni raw materials
FcYc2_EX0AA_whJ.jpeg
 
Nchi isiyokuwa na direction a.k.a shit hole, wameona Tz ina BRT system wakajaribu kuiga wakajenga kituo kimoja wakaona moto mkali haiwezekani, now from no where wanakuambia wanataka electric bus wakati infrastructures za ku support hizo buses hakuna, yn na uchafu ule wa ka Nairobi plus uncivilized Kenyans hizo bus wiki moja tu zitakuwa bora hata matatu
Itafika muda watakubali tu wote....
Screenshot_20230215-063622.jpg
 
Hata remittance waganda wanatuzidi
Tuendelee kupuuA hivi vitu vidogovidogo zikija cumulative reports hapa mnasema data zinapikwaView attachment 2517952

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nenda Saudia kadeki vyoo uongeze remittance Tanzania mbona simple tu 😂😂😂 unataka Watanzania waishi maisha ya kishetani kama wakunya ili tufanane nao kwenye statistics? Kenya ni taifa la kifukara na hakuna chochote mkenya anaweza kufanya ndani ya Kenya akafanikiwa tofauti na ufisadi ndio maana wote wanaenda kufanya kazi za shuruba nje ya nchi ili wasife njaa!
 
Back
Top Bottom