President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Umeanza kuleta account zako double double siyo.Wewe sasa nawe unasema nini? 😂😂
Tunasubiri account nyingine nyingine ya nairobae na hii main account NairobiWalker
Umeanza kuleta account zako double double siyo.Wewe sasa nawe unasema nini? 😂😂
🤣🤣🤣 Enyewe I'm dealing with a madman.Wacha ujinga wewe, Nimesema 18 Century, tofautisha kati ya 18th Century na 18 Century, hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Ndivyo walivyo hao wajinga, hawataki kuukubali ujinga wao, lazima watafute njia ya kujiona wao hawakoseiWewe ndio mwehu. Ni sahihi kuwa 1825 ni 1800s ambayo ndio argument ilianzia.
Kawaulize nguo walizovaa wakati wanazindua SGR yenu zilitoka wapi na kama zilikuwa unfinished productsYou are exporting mostly unfinished products bongolala. Yani mnauza raw materials. Most of your exports are cashew nuts, precious metal ores, dried legumes, raw copper and pearls.
Nitajie finished product iliyopitia kiwandani kwenye hiyo list
Peleka ujinga wako Kule, hata hujui kwamba 1800s includes 1825. Jinga Sana wewe.Nawapa somo jinsi haya mambo yanavyohesabiwa leo. Naona bado mlikuwa nyuma sana. Wengi wenu mlidhani 18th century ni miaka ya 1800 - 1899, naona mmebadilisha fikra. Hilo swali unalouliza nilishaalijibu.
1800s = 1800 - 1809
1810s - 1810 - 1819
1820s = 1820 - 1829 and so on.
Nadhani umeelimika wee mkosa elimu.
Mwehu ni wewe ambae huoni kama nimeandika 1800-1900(century) 19th century
Sijaona akimsupport, nimeona akimkataza aachane na wanaojifanya kujua sana.Vile una msupport mwenzio in arguing over minor elementary understanding proves what an army of fools can achieve.
Ila hatuongelei Cheney umesema, tunaongelea chenye alisema. Wacha kuzungusha mada.
Hivi 18Century ndio nini?Onyesha wapi Nimesema 1800s = 18th Century?.
Nimesema 18Century, sio 18th Century
Embu elezea na hiyo pia kwa muktadha wako.Rudi shule Kijana.
1800s = 1800 - 1809
1810s = 1810 - 1819
1820s = 1820 - 1829 and so on.
18th Century = 1701 - 1800.
Wewe ni kama hapa JF ndio the best school ushawai kanyaga. Unakuwanga dunder Sana.
View attachment 2517114
Good question 😂Hivi 18Century ndio nini?
Nenda ukale nyama ya Jaluo, hamna akili ya kujadiliana sisi.Enyewe I'm dealing with a madman.
Kwani ni njaa tuu? You are king of slums, corruption second after Nigeria, forgery especially economic data number one in the world.Hii story ya njaa isiwe kisingizio chenu everytime you are cornered. Kuna wengine wetu hatujui hata njaa ni nini. Inasikitisha kwamba licha ta yote mlionayo, millions of Tanzanians are still wallowing in poverty. Hiyo nchi yenu tukipewa na hizo rasilimali zote we can turn it upside down
We jamaa unajiuliza na ku comment wewe mwenyewe. Akili zako hazikutoshi. Au unataka nianze kukuchimba. Tumia ID moja tu. Haikupi credit yoyote kuanza kujijibu mwenyewe.Good question 😂
Umeulizwa swali, nini maana ya 18Century.🤣Nenda ukale nyama ya Jaluo, hamna akili ya kujadiliana sisi.
Hebu acha ujinga bhana. Hizo mambo za kitoto hebu peleka KenyatolkUmeulizwa swali, nini maana ya 18Century.🤣
Wewe huniwezi kwa chohote kwanza wewe ni maskini wa kutupwa. Umekula lakini leo au upo hapo Uhuru Park unapata WIFI ya bure? Unakumbuka siku ile ulikuwa kwenye hotel hapo nairobi au nifufue makaburi?
Hiyo 1800s ni century nzima ndani yake kuna decades lakini inamaanisha years from 1800 mpaka 1899.Nawapa somo jinsi haya mambo yanavyohesabiwa leo. Naona bado mlikuwa nyuma sana. Wengi wenu mlidhani 18th century ni miaka ya 1800 - 1899, naona mmebadilisha fikra. Hilo swali unalouliza nilishaalijibu.
1800s = 1800 - 1809
1810s - 1810 - 1819
1820s = 1820 - 1829 and so on.
Nadhani umeelimika wee mkosa elimu.
Ndio maana huwa tunasema Wabongo hawajui Kiingereza.Hiyo 1800s ni century nzima ndani yake kuna decades lakini inamaanisha years from 1800 mpaka 1899.
Wewe umekuwa ukisikia 90s 80s 70s ukafikiri s denotes decades you are very wrong na inanitia mashaka sana kuhusu quality ya elimu ya Kenya.