Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tanzanian ina rasilimali zote ila hazijaguswa bado by 90% na zingine bado hazijagunduliwa na ajabu ni kwamba tanzania watu hawafi njaa tofaut na nyinyi wenye GDP ya kupika watu wanakufa njaa yani njaa ndio dalili ya kwanza ya umaskini
Hii story ya njaa isiwe kisingizio chenu everytime you are cornered. Kuna wengine wetu hatujui hata njaa ni nini. Inasikitisha kwamba licha ta yote mlionayo, millions of Tanzanians are still wallowing in poverty. Hiyo nchi yenu tukipewa na hizo rasilimali zote we can turn it upside down
 
Hii story ya njaa isiwe kisingizio chenu everytime you are cornered. Kuna wengine wetu hatujui hata njaa ni nini. Inasikitisha kwamba licha ta yote mlionayo, millions of Tanzanians are still wallowing in poverty. Hiyo nchi yenu tukipewa na hizo rasilimali zote we can turn it upside down
Mtu mvivu umaskini ndio mshahara wake.
Iko hivyo dunia nzima

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
You are exporting mostly unfinished products bongolala. Yani mnauza raw materials. Most of your exports are cashew nuts, precious metal ores, dried legumes, raw copper and pearls.

Nitajie finished product iliyopitia kiwandani kwenye hiyo list
Nilishang'aa sana tunaimport iron ore kutoka Tanzania tunaunda chuma kisha tunawauzia. Ujinga imejaa Tanzania ni level nyingine
 
You are exporting mostly unfinished products bongolala. Yani mnauza raw materials. Most of your exports are cashew nuts, precious metal ores, dried legumes, raw copper and pearls.

Nitajie finished product iliyopitia kiwandani kwenye hiyo list
Kawaida raw materials ziko na bei ya chini, hivyo Kama ninyi mko na viwanda vingi mlipaswa muwe na balance of trade kubwa kutuzidi.

Sikiliza wewe mnuka mavi wa Kiberal, tunawauzia bidhaa nyingi za viwandani kuwazidi
1)Vioo
2)Soft drinks(Azam joices & Energy), Mo Energy
3)Tooth paste(White dent)
4)Konyagi & Wines
5)Tranforma za umeme
6)Ceramics
7)Mbolea ya Minjingu
8)Karatasi
The list goes on.........
 
Jamaa walivyo wezi
 

Attachments

  • Screenshot_20230214-094927.png
    Screenshot_20230214-094927.png
    208.1 KB · Views: 17
Hii story ya njaa isiwe kisingizio chenu everytime you are cornered. Kuna wengine wetu hatujui hata njaa ni nini. Inasikitisha kwamba licha ta yote mlionayo, millions of Tanzanians are still wallowing in poverty. Hiyo nchi yenu tukipewa na hizo rasilimali zote we can turn it upside down
Hahaha, sisi ambao hatuna tatizo kubwa la ukame Kama huko kwenu, lakini tunawaongoza zaidi ya mara 3 katika "Irrigation schemes", Hiyo inakuonyesha ni jinsi gani mlivyo wazembe wakubwa
 
You are just proving my point bongolala albeit unknowingly. Your import value is more than your export value. Hapo sasa ni uchumi gani mumejenga?
It is within manageable margins unlike yours
 
Nilishang'aa sana tunaimport iron ore kutoka Tanzania tunaunda chuma kisha tunawauzia. Ujinga imejaa Tanzania ni level nyingine
Hawa jamaa ni limbukeni kabisa. Hawajui kutumia walichobarikiwa nayo na Mungu. Kazi ni kelele tu
 
Viwanda vingi vikubwa vinatumia gas for power
And I also said, just like you are saying it here, that gas is also power. At the end of it all, Kenya has high power demands and even produces more of it than your country
 
Kawaida raw materials ziko na bei ya chini, hivyo Kama ninyi mko na viwanda vingi mlipaswa muwe na balance of trade kubwa kutuzidi.

Sikiliza wewe mnuka mavi wa Liberal, tunawauzia bidhaa nyingi za viwandani kuwazidi
1)Vioo
2)Soft drinks(Azam joices & Energy), Mo Energy
3)Tooth paste(White dent)
4)Konyagi & Wines
5)Tranforma za umeme
6)Ceramics
7)Mbolea ya Minjingu
8)Karatasi
The list goes on.........
Chakula ndo usiseme hawa tukifunga mipaka wanapiga magoti kuja kuomba msosi
 
Back
Top Bottom