Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Most of the exports went to Tanzania and UgandaView attachment 2517026
Hellow, good evening
Screenshot_20230213-234241.jpg
Screenshot_20230213-234608.jpg
 
Tanzania have more industries than Kenya? Kujiliwaza mnajua sana mibongolala.

Itakuwaje mko na more industries kutuzidi wakati power (electricity) demand and consumption ya Kenya iko juu kuzidi yenu? Ama viwanda vyenu vinatumia kuni kuendeshwa?
Viwanda vyetu vyote vinatumia gas na haiko calculated, I can attach this as evidence for you but you have a chance to dispute this evidence by giving yours
Screenshot_20230213-234241.jpg
Screenshot_20230213-234608.jpg
 
🤣🤣🤣 Nilifuatilia huu mjadala wa bwana joto la jiwe .. huyu fala wa kikunya kumbe ni embe bovu.. 🤣🤣. Mara ya kwanza alikataa kwamba 1800s haimanishi kutoka 1800-1899 Bali ni 1800-1809 🤣🤣

Na kuna mpunga mwenzake huyu Rhaenyra Targaryen alimsapoti 🤣🤣 wote wawili wakijinasibu kwamba ni wanaakili.. elimu ya Kenya ni mbovu kabisa

Kwasisi tuliosoma history ukiweka "s" mbele ya mwaka tunaelewa hapo inazungumziwa "era" fulani, yaani kipindi chote cha miaka hiyo

Let say 1800s this means kipindi choote cha miaka ya elfu mianane hadi ukomo wake Dc 31 1899..

Alichokosea Joto ni kusema 1800s ni karne ya 18. 1800s ni karne ya 19 ..

Upande mwingine niliona bwana tuusan akimsapoti Nairobiwalker 🤣🤣🤣.. huyu tusani ni mpunga pia wa Juha .. 🤣🤣.. mtu wa Sayansi utajuaje terminologies za kihistoria.? Wacha chuki na watanzania wenzako wewe
Wewe wacha kuongeza chumvi na pilipili, kilaza mwenzako joto la jiwe amesema hivi.
18Century = 1800 - 1899 na amekwamilia hilo. Wacha kugeuza mambo visivyo ni hicho kiingereza chenu kibovu.
 
You are just proving my point bongolala albeit unknowingly. Your import value is more than your export value. Hapo sasa ni uchumi gani mumejenga?
Hizo ni takwimu za mwaka majuzi mzee na unaweza kuona export na import ni almost the same, unlike yours in which import number doubles your export number, and I bet now your import is as triple as your export number.
 
🤣🤣🤣🤣 Kwahyo umebadilisha hata mada ya msimgi.? 🤣🤣🤣.. aahh kmmmk nimekushindwa tabia 🙌🙌
Wewe ndiwe unajaribu kubadilisha. Mwenzako amesema kuna tofauti ya 18th Century na 18Century na kwamba 18Century ni 1800 - 1899. Alafu 1800s ni 18Century. Mbona basi useme yeye kakosea ilhali mwenyewe ameshikilia yupo sahihi? 🤣
 
Wewe ndiwe unajaribu kubadilisha. Mwenzako amesema kuna tofauti ya 18th Century na 18Century na kwamba 18Century ni 1800 - 1899. Alafu 1800s ni 18Century. Mbona basi useme yeye kakosea ilhali mwenyewe ameshikilia yupo sahihi? 🤣
We jamaa hautakubali kushindwa ..🤣🤣🤣. Nimekupuuza
 
Wewe ndiwe unajaribu kubadilisha. Mwenzako amesema kuna tofauti ya 18th Century na 18Century na kwamba 18Century ni 1800 - 1899. Alafu 1800s ni 18Century. Mbona basi useme yeye kakosea ilhali mwenyewe ameshikilia yupo sahihi? 🤣
Mbona mzee hutaki kunijibu au nikufuate PM. Siku hizi huendi Giraffe Manor?
 
Back
Top Bottom