joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Because our disposable income is growing while yours is on declineMost of the exports went to Tanzania and UgandaView attachment 2517026



Because our disposable income is growing while yours is on declineMost of the exports went to Tanzania and UgandaView attachment 2517026



Sawa bongolala umeshindaVijana wa kitanzania ni waaminifu sana kama mali si yake atakwambia si yangu,pia the look tu inaonyesha wako sawa kwenu maisha ni magumu sana kutoboa ni 10/90 wakati bongo ni 50/50. Just face facts.
Tanzania have more industries than Kenya? 😂😂😂😂 Kujiliwaza mnajua sana mibongolala.Mnatutegemea kwa kila kitu no wonder we export more than you because we also have many industries than you.
Wameletewa bureti treni wakaambiwa ni bullet train 😂😂😂Bureti treni🤣🤣🤣
Kuna viwanda vinatumia gas au hilo hulijui pia 😆Tanzania have more industries than Kenya? 😂😂😂😂 Kujiliwaza mnajua sana mibongolala.
Itakuwaje mko na more industries kutuzidi wakati power (electricity) demand and consumption ya Kenya iko juu kuzidi yenu? Ama viwanda vyenu vinatumia kuni kuendeshwa?
Aliekwambia hio ni bullet imeletwa nani tena hio ni third class amabyo hata 1st class yenu haiwezi kutoboa 😆😆 tatizo lenu munajipa pressure bure kuna EMU zitaingia mwezi wa sita au wa saba kutoka germany hii thread mutaiona chunguWameletewa bureti treni wakaambiwa ni bullet train 😂😂😂
1800s = 1800 - 1809Tofauti kati ya 1800s na 1825 ni nini?. Tatizo wakenya hamna akili lakini hamjui kwamba hamna akili. Hiyo "s" hapo kwenye 1800s unadhani ni "typing error?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Is that how you taught in school on how an economy is built? Kwamba Mkituuzia vitu fulani sasa economy yenu ni bora?Msingi ni huu
1. Tanzania feeds Kenya
2. Tanzania supplies fertiliser to Kenya
3. Tanzania supplies gas to Kenya
4 Tanzanian sells ceramics to Kenya
5. Tanzania maintains positive exports balance with Kenya
Fuatilia thread. Wenzako wameiita bullet train a few pages backAliekwambia hio ni bullet imeletwa nani tena hio ni third class amabyo hata 1st class yenu haiwezi kutoboa 😆😆 tatizo lenu munajipa pressure bure kuna EMU zitaingia mwezi wa sita au wa saba kutoka germany hii thread mutaiona chungu
Washaanza kujicontradict wenyewe.🤣🤣🤣Fuatilia thread. Wenzako wameiita bullet train a few pages back
All that is called power bongolala. Nyinyi kwenye viwanda hamtuguzi hata chembeKuna viwanda vinatumia gas au hilo hulijui pia 😆
Hata kama wameita bullet je ushaziona picha kichwa kinachovuta au ww umeona mabehewa tu 😆😆😆Fuatilia thread. Wenzako wameiita bullet train a few pages back
As they always doWashaanza kujicontradict wenyewe.🤣🤣🤣
Ujinga ndio umekuganda kwenye kichwa mukidhani ni tz ya 90s mambo yashabadilika na nyinyi badilikeni 😆😆 ila ukweli utaongea tuAll that is called power bongolala. Nyinyi kwenye viwanda hamtuguzi hata chembe
You are just proving my point bongolala albeit unknowingly. Your import value is more than your export value. Hapo sasa ni uchumi gani mumejenga?
Tanzania bado ni ile ile tu bongolala. Nchi yenye rasilimali karibia zote but still wallowing in poverty.Ujinga ndio umekuganda kwenye kichwa mukidhani ni tz ya 90s mambo yashabadilika na nyinyi badilikeni 😆😆 ila ukweli utaongea tu
Kama mpo na viwanda vingi kutuzidi, iweje sisi exports zetu ziwe nyingi kuwazidi na imports zetu ziwe kidogo?.Tanzania have more industries than Kenya?Kujiliwaza mnajua sana mibongolala.
Itakuwaje mko na more industries kutuzidi wakati power (electricity) demand and consumption ya Kenya iko juu kuzidi yenu? Ama viwanda vyenu vinatumia kuni kuendeshwa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tanzanian ina rasilimali zote ila hazijaguswa bado by 90% na zingine bado hazijagunduliwa na ajabu ni kwamba tanzania watu hawafi njaa tofaut na nyinyi wenye GDP ya kupika watu wanakufa njaa yani njaa ndio dalili ya kwanza ya umaskiniTanzania bado ni ile ile tu bongolala. Nchi yenye rasilimali karibia zote but still wallowing in poverty.
Kwenye hiyo picha ya kwanza si ajabu kusikia wakisema eti pilots wa KQ hawajahitimu. Eti how could they fly the plane so low!! 😂😂😂😂😂
You are exporting mostly unfinished products bongolala. Yani mnauza raw materials. Most of your exports are cashew nuts, precious metal ores, dried legumes, raw copper and pearls.Kama mpo na viwanda vingi kutuzidi, iweje sisi exports zetu ziwe nyingi kuwazidi na imports zetu ziwe kidogo?.
Iweje balance of trade kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuwa kubwa kwa Tanzania, na nchi zote za Afrika?.
Katika nchi zote za Afrika zinazofanya biashara na Tanzania, balance of trades favors Tanzania