Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye export tumewapita tayari hawatakaa watufikie, ndio maana nasema Kenya ni paper economy

View attachment 2516706
Kenya has a mediocre economy that was largely thought to be big in comparison to other EA countries due to negligence by neighbours.

The neighbours have now awaken and are claiming their rightful position in EA economy.
 
Kenya Power had 8.91 million customers as of June 2022
FB_IMG_16763605756739432.jpg
 
Magufuli alisema tuombe sababu ya gonjwa geni duniani lisilo na tiba wala chanjo na linaua mamilioni ya watu duniani kiasi wanasayansi na technologies zote zimeshindwa, kunyans walimtukana na kutuita majina ya kila namna

Nashangaa wao leo wanaomba ukame na njaa viondoke, hivi na waarabu wenye ukame Promax na wenyewe wanashughulikiaga changamoto zao namna hii? Last time wao ndio waliwapa msaada wa chakula, Ukraine nayo yenye machafuko pomoni?

 
Back
Top Bottom