The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Nimegundua Nairobi kuna matoroli mengi kuliko pikipiki.
Nimegundua Nairobi kuna matoroli mengi kuliko pikipiki.
Tushatoka huko sisi, basi kwa timu za ligi ni kitu cha kawaida sn. Timu zetu kwa ss zinamiliki basi kama zile zinazotumiwa na timu kubwa za ulaya na Amerika.
Mjifunze ku pave roads.Guys have you noticed the change at OTC!?
View attachment 2502330
Me naona Tokyo tuiweke humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama New York mwananguView attachment 2502342
Utaonaonaje na umepumbazwa na blind patriotismKwahyo kwenye hizi post zako, ni sehemu gani imeandikwa ituruki imetoa mkopo kujenga SGR yetu.?
Nimekuelewa kaka.Ahsante sana.Kumbe kama nchi yao yote ingekuwa inakalika bila shida wangekuwa mbali sana kwenye kilimo,mining,makazi maana wangeweza kufanya miradi mikubwa pasipo kujibana.View attachment 2502520
Kuna kitu kinaitwa Hu line hii ni imaginary line inayoonesha chinese population distribution (94% wanaishi mashariki). Hawa watu hawakulazimishwa na serikali kukaa kwenye 43% ya ardhi bali jiografia ndiyo iliyowalazimisha.
Upande wa magharibi mwa hu line kuna bad terrain (milima na mabonde) pia ni baridi sana na hivyo kwa miaka elfu na elfu wachina walikuwa wakiyakimbia maeneo hayo.
Mmeona walivyo vichwa maji? Anarudisha tena ubishani tulioumaliza since 2020, tuliwapiga kipigo kitakatifu kuhusu magari.Hatuna uwezo wa kununua magari ila Kenya kuna magari mengi kuliko Tanzania na zote ni za watanzania
Upuuzi mtupu unaweka humu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me naona Tokyo tuiweke humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama Tokyo mwanangu [emoji8][emoji8][emoji1241][emoji91][emoji91]
Acha kua mjinga kijana unaijua PARIS wewe[emoji3] Miji mizuri yote iko ulaya kwa kila kituThere are 200+ copy cut cities in china pamoja na hiyo Paris+London+Manhattan .. kwahyo china huwezi shindana nayo kwasababu they also do have replicas of those beautiful cities in Europe u mentioned.. [emoji116]. Halafu kando na hizi ndio utaje sasa zile big fishes zao. tuusan
Ikiwekwa picha ya umbali huu Kenya inaonekana yote, chongchung anayo ngoja akuwekee ucheke, mind you ile picha haikuwa ya umbali huu but ikaonesha ka Nairobi kote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TOKYO, JAPAN. A city with the biggest GDP, most populated, and largest on earth.
"na inatoshea kwa picha moja [emoji1787] [emoji1787] "
![]()
China haina technologies [emoji1][emoji1] unapozungumzia technology kuna wanaume hapo kama GERMANY, JAPANI,UK na USAKwani alieanza kitambo hawezi kuzidiwa.? China ame prove kuwa na technology kubwa in recent years.. ame develop zile technologies amezikuta na kufanya maajabu . Tunavyoongea hiv sasa ni kampuni za kichana ndio zinafanya vizur zaidi duniani.. karibu dunia yote inajengwa na wachina saivi, Latin America & Africa china tayari amesha win haya mabara .. wenyewe wanalalamika huku westerners [emoji116].
Kuna kijana mtanzania yupo China anatengeneza vifaa vya KodTec. Anauza sana kwa sasa hapa nchini.We jamaa usiongolee vitu usivyovijua .. zipo evidence kibao za vijana wa kiwest kukimbilia China+ kampuni kubwa za west ku shisft their capitals to china. Hapa issue ni kwamba there is no way you can live or work in china illegally.. China is future. Usidanganye watu.. mtu mweusi unataka kuishi kimagumashi halaf ikishindikana eti useme china hakuna fursa 🤣🤣 huo ni upumbavu wa kiwango cha lami
Hao wanaume unaowataja hawana space station.China haina technologies [emoji1][emoji1] unapozungumzia technology kuna wanaume hapo kama GERMANY, JAPANI,UK na USA
Sio tu kwamba wanazidiwa kwasababu hawana space station pekee, they have nothing ahead of china, taja katika kila eneo china inawazidi tena kwa miaka ishirini mbele.Hao wanaume unaowataja hawana space station.
🚮China haina technologies [emoji1][emoji1] unapozungumzia technology kuna wanaume hapo kama GERMANY, JAPANI,UK na USA