7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Ngoja nianze kufanya utafiti wale waliokwenda China kusoma au kutafuta maisha wakarudi na wale wa Europe na US wapi wana maisha mazuri.China hakuna cha maana we hujiulizi kwann wachina wenyewe wanapenda kwenda kuishi Europe na America
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Swali la kizushi, hivi kuna mtu hana dreams za kwenda kuishi au kutembea US?

