Umechanganya madesa polisi ya tanzania ina unform tofauti kutokana na majukumu hizo ulizo weka hapo ni uniform za kimapigano au tuseme hizo ni combat uniformKenya police uniform are very UGLY but better than tanzania policeView attachment 2502141View attachment 2502142View attachment 2502143
Warathese
View attachment 2502144View attachment 2502145
Gari kuu kuu zote!Traffic Muranga road, Kenya
![]()
Kenya ina magari chakavu na mikweche choka mbayaNaona magari yote ni ya 5 yrs ago.. ama kweli kwa maneno 100 ya mkenya.. ondoka na neno moja, tena kwa tahadhari kubwa!
View attachment 2502263View attachment 2502264



Kibers slum now has better roads and more interchanges than the best estate in Dar-is-a-slumThis place used to be part of Kibera slum.
View attachment 2502334
Watu tunaoishi vijijini leo tumekumbukwa.We jamaa suala sio city suala ni standard of living...wewe kama unaishi Manzese pale mahali kuchafu unaanzaje kumtambia mtu anaeishi kijijini machame huko kwenye mjumba mkali wenye kila kitu na yuko kijijini?
Sasa angalia Maosha ya mjapani mmoja ni bora kuliko maisha ya wachina watatu kw wastani...
Mjapani mmoja anamaisha mazuri kuliko wachina 3
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Du haya magari watakuwa wakunya watakuwa wanaokota kwenye viwanda vya kusaga vyuma kule ulaya na asia.....yakiwa yamepelekwa kusagwa vyuma jamaa wanaya nunua kama chuma chakavu na kuyapeleka nchini kwao hadi nairobi
yani kwenye huo msururu wa magari sijaona gari hata la kujisifia kuwa unamiliki gari


Hii picha ni yakuifadhi kama nyaraka za siri ya serikaliAsante kwa hii picha, yn hapa ndio inaonekana vzr Kenya wanatumia gari za mwaka gn. Over 99% ya hizi gari ni za kale kweli kweli.View attachment 2502319




Bullet train zilianza huko Japan 1960s wakati wachina bado wancheza kung-fu na kupiga kahawa na kalumati
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app






Sisi pia tunawafundisha, ila sio kwa kuwawekea dudu vile kwenye meza. Sio maadili yetu kabisa.Kwa hiyo unadhani nchi zilizoendelea hazifundishi wanafunzi wao kutumia kinga kujikinga na ujauzito na baadhi ya magonjwa? Sidhani kama Tanzania ina aina hii ya elimu. Wakati wote huwa ni abstinence.
acha kuchosha akili, huna uwezo wa kufikiriaSio sifa hata...ni moja ya indicator ya umaskini...
Mngekuwa na public transport nzr kama BRT, trams nk...na mkapunguza baadhi ya office na huduma muhimu kutoka CBD..msingepata traffic za namna hii...
Lakin sasa mtafanyaje...hela mlikopa sana mafisadi wakaila mkajenga miradi ya kujisifia mbele ya nchi nyingine badala ya kusolve matatizo ya nchi yenu..
I feel sorry for you
miaka ya magufuli akiwa haiDah hizi gari hapo za miaka gani vile?
Mimi sikusoma ila sipingani na ukweli kama wewe uliyesomaUnaona sasa ulivokua chizi 🤣🤣🤣 so rais wa turkey akija tanzania maana yake katoa pesa za SGR tanzania kaaah hvi shuleni munasoma kitu gani nyinyi
Yani nilijua walau umesoma kidogo hata unajielewa bro kumbe unaakili za kuvukia barabara tu 🤣🤣🤣🤣
Sasa unataka kulazmisha uongo uwe ukweli au 🤣🤣🤣🤣🤣Mimi sikusoma ila sipingani na ukweli kama wewe uliyesoma
Wewe bongolala wacha nye nye nye. Traffic jam hupatikana hata New York na London. Hata hapo Dar is slum foleni hupatikana so you are not making any sense at all!Sio sifa hata...ni moja ya indicator ya umaskini...
Mngekuwa na public transport nzr kama BRT, trams nk...na mkapunguza baadhi ya office na huduma muhimu kutoka CBD..msingepata traffic za namna hii...
Lakin sasa mtafanyaje...hela mlikopa sana mafisadi wakaila mkajenga miradi ya kujisifia mbele ya nchi nyingine badala ya kusolve matatizo ya nchi yenu..
I feel sorry for you
Kenya wanashindwa kununua unga wa ugali tu, leo hii waweze kuwa na magari!!! 🤣 🤣 🤣Wewe bongolala wacha nye nye nye. Traffic jam hupatikana hata New York na London. Hata hapo Dar is slum foleni hupatikana so you are not making any sense at all!