game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,231
- 26,729
Haina maajabu yoyote Tokyo compared to modern cities like, Shengzhen, Chongqing, Guangzhou, Chengdu n.k likija suala la infrastructure+ beautiness.. au unaweza kuitetea .?
Sasa hapo unakuwa general sana, unawezakuwa unaona skyscrapers as the sign of development au maajabu au unyama sana kwako which is okay,
Ila sio kila mtu anaona hivyo,
Kumbuka kuna miji mingi mizuri kuliko hiyo ya uchina na haina skyscrapers,
Mfano hiyo miji yote umetaja sioni kama kuna mji unafikia Paris kwa Uzuri in all aspects, na Paris haina skyscrapers, na Huwezi sema Paris ni Mji wa kizamani kisa hauna skyscrapers, despite the fact that majumba mengi ya Paris au London au Berlin yamejengwa karne za 16 hadi ya 20,
In general Miji ya ulaya haitaki kujenga hayo majengo marefu, they prefer to keep their heritage, na bado imebaki ni mizuri na ya kisasa na inayoenda na muda.
So is Tokyo.