Ulaya walishaendelea zamani hizo,shenzhen ni miji inayochipukia haviwezi kufanana...shenzhen kama majiji mengi yanayochipukia lazima uwe tofauti kabisa na miji ambayo ilishaendelea kama London ama Paris.
Na ukiangalia wachina wanacopy style ya USA maana kule ndio wanahizo skyscrapers tangu mwanzo mwa miaka ya 1900s...
Kama wewe unapenda skyscrapers utaona China imeendelea lakini kama unapenda architecture hutashuka kivile
Angalia mfano hizi Suburbs za London Tangu miaka ya 1930s hapa
View attachment 2502609View attachment 2502610View attachment 2502612
Sent from my SM-A035F using
JamiiForums mobile app