Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ananinyima usingizi akioza? ona huyu
Kajifunze kiswahili kwanza ndio urudi hapa unijibu. Huoni ni tense gani imetumika hapo ama?
Screenshot_20230201-141110.jpg
 
Hapa ndo walikuwa wana sign loan?
Picha za Turkey-Tanzania Business forum ndo evidence za kuchukua hiyo loan!
That news is all over the interet wewe bongolala. Haja gani kukana kila kitu hata yale yako wazi. Your sgr was not only funded by the Turks, your government received a further $1.46b from Standard Chartered bank na hiyo taarifa ndio hii hapa
Kataaeni na hiyo pia
 
Mibongolala kwa kukana mambo hamjambo! Yani unakataa kwamba Turkey didn't give your government a loan to finance your sgr while there are thousands of news on the internet about that deal? Kudeal na mtanganyika ni kazi kweli!
Evidence please

Magufuli aliomba mkopo Turkey na BRICS kujenga SGR na kote huko alikosa, aliomba msaada wa kujenga stadium Dodoma toka kwa mfalme wa Morocco, aliahidiwa $100M, lakini hakupewa hata $1, serikali imeamua kujenga kwa kutumia pesa ya ndani
 
China wako vema Sawa, ila levels zao ni kina South Korea, Brazil.
Mchina ni mhindi aliyechangamka.
Kama unafikiri China ni sawa na Brazil kwa nini nayo haizungukwi na meli za kivita kama China?

Sasa hivi wanajenga space station yao wenyewe, ukiacha Marekani kujaribu kujenga skylab na Urusi kuwa na Salyut na baadae Mir ni nchi gani nyingine iliyowahi kuwa na jeuri hiyo?

Unafahamu kuwa 57% ya China haikaliki, yaani huwezi kulima chakula, lakini kwa hiyo hiyo 43% iliyobaki wameweza kulisha watu 1.4 b. Kama unafikiri ni rahisi kulisha watu wengi kwenye ardhi isiyolimika, utakuwa unautani na nyang'au wewe.
 
Si bora mimi natumia akili kwenye mambo yangu....wew unayo basi hiyo akili?

Wew kweli ulivyo mtu mzima unaweza jisifia traffic jam ya vihiace na vipanya vya miaka 90
nishakwambia huna uwezo wa kufikiria, kichwa chako ni cha kubeba meno ya kutafuna pekee
 
Wewe bongolala wacha nye nye nye. Traffic jam hupatikana hata New York na London. Hata hapo Dar is slum foleni hupatikana so you are not making any sense at all!
Point yangu nasema sio Sifa...huwezi mtu ukajisifia kuwa na traffic jam ya hivyo vihiace mjini?...

Wenzenu london na New York mnaoabudu wana options nyingi za kusafiri mjini sio lazima utumia gari lako kumove...wana usafiri wa umma mzr tu...


Kitu ambacho Nairobi itachukua miaka mingi kufikia...traffic Nairobi ni umaskini tu hakuna kingine
 
That news is all over the interet wewe bongolala. Haja gani kukana kila kitu hata yale yako wazi. Your sgr was not only funded by the Turks, your government received a further $1.46b from Standard Chartered bank na hiyo taarifa ndio hii hapa
Kataaeni na hiyo pia

Stupidi manki.

Umeshindwa kuleta kitu kama hiki unadengua dengua ovyo!

IMG_6360.jpg


Lete evidence tukipokea mkopo kutoka Uturuki.
 
Kama unafikiri China ni sawa na Brazil kwa nini nayo haizungukwi na meli za kivita kama China?

Sasa hivi wanajenga space station yao wenyewe, ukiacha Marekani kujaribu kujenga skylab na Urusi kuwa na Salyut na baadae Mir ni nchi gani nyingine iliyowahi kuwa na jeuri hiyo?

Unafahamu kuwa 60% ya China haikaliki, yaani huwezi kulima chakula, lakini kwa hiyo hiyo 40% iliyobaki wameweza kulisha watu 1.4 b. Kama unafikiri ni rahisi kulisha watu wengi kwenye nchi isiyolimika, utakuwa unautani na nyang'au wewe.
Hapa sijaelewa vizuri. Ardhi ya China ina shida kuilima au imepangiwa matumizi mengine nje ya kilimo?
 
We jamaa suala sio city suala ni standard of living...wewe kama unaishi Manzese pale mahali kuchafu unaanzaje kumtambia mtu anaeishi kijijini machame huko kwenye mjumba mkali wenye kila kitu na yuko kijijini?
Sasa angalia Maosha ya mjapani mmoja ni bora kuliko maisha ya wachina watatu kw wastani...

Mjapani mmoja anamaisha mazuri kuliko wachina 3

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Maisha mazr kiaje...wakati ndo Watu wanaoongoza kujiua duniani na wenzao South korea
 
Ila wanakuwa wameshatoka kwenye ramani halafu wanatuachia sisi tujukuu tulee, yeye unamsomesha na katoto kake pia unakatunza maana baba zao huwa nikukimbia soo kwa kwenda mbele

Ingekuwa serikali haikukamati na kukufunga miaka 30 kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi wala wasingekuwa wanakimbia, wangekuwa wanalea na majukumu yangepungua.

Hiyo sheria ya miaka 30 ina mapungufu makubwa sana.
 
nishakwambia huna uwezo wa kufikiria, kichwa chako ni cha kubeba meno ya kutafuna pekee
Matusi huwa ni sign ya low IQ na akili ndogo....

Leta hoja hapa tuichambue sio kuniattack kwa maneno..

Anyway labda Wew ni mwanamke!!
 
Back
Top Bottom