Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila wenzetu wameendelea bhn hebu angalia gated community hiyo kwa ukubwa wake, sipati picha kuna ka shit hole [emoji2734] fulani kangekuwa na japo nusu ya hzo classic gated community vile shit holian wangepiga kelele za dunia [emoji116][emoji116]View attachment 2502632View attachment 2502634
Kaaa kwa kutulia kijana
FB_IMG_1675258675808.jpg
 
Sasa huo ni uoga, nmesema kama China hawana basi watakuwa wamepitwa kwenye nyanja hiyo ila kama wanazo itabidi tukubali kukubaliana thus y nmemuita sama boy aje atoe ushuhuda.
Venice Italy China hawana mji wa bhata kama huu[emoji3][emoji3][emoji3] ruksa ku Google
FB_IMG_1675257335740.jpg
 
Ikiwekwa picha ya umbali huu Kenya inaonekana yote, chongchung anayo ngoja akuwekee ucheke, mind you ile picha haikuwa ya umbali huu but ikaonesha ka Nairobi kote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kenya itaonekana yote aje wakati Kenya ni kubwa kushinda Japan? Aki wewe hukua mjinga. Hope hujazaa sababu kizazi chako kitakua kijinga na mzigo kwa ulimwengu
 
Wacha ujinga na wewe kuna nn cha ajabu hapa, hii ni takataka kwa vitu vilivyowekwa humu mzee.
Wewe leta hapa data zinaongea wapi ni destination nzuri kwa watalii[emoji3]

Hakuna sehemu penye vibu kubwa kuliko Europe by 100000%

Europe ni habari nyingine kijana

Santorini Greece kama hauna pesa huwezi elewa [emoji3][emoji3]
FB_IMG_1675262750077.jpg
 
Mwenzako ameshajificha. Unataka tuendelee?

View attachment 2502671
[emoji1][emoji1][emoji1] mimi siko huko kwa Usa vs China mimi niko hapa China vs Europe kwa uzuri

Kwa hio kesi yako new york bado ipo juuu inagdp ya 1.59 trillion uku shenzhen ni 447 billions[emoji1] ona hata aibu kijana

China tangu apigwe biti na USA la kutotumia microchips zake na HUAWEI ikafa kifo cha membe China ni kubwa jinga tu
 
[emoji1][emoji1][emoji1] mimi siko huko kwa Usa vs China mimi niko hapa China vs Europe kwa uzuri

Kwa hio kesi yako new york bado ipo juuu inagdp ya 1.59 trillion uku shenzhen ni 447 billions[emoji1] ona hata aibu kijana

China tangu apigwe biti na USA la kutotumia microchips zake na HUAWEI ikafa kifo cha membe China ni kubwa jinga tu
Tatizo lako unadhani technology ni HUAWEI pekee. Technology ni pana mno.
Mimi siongei maneno matupu naongea kwa vitendo.
Screenshot_20230201-183705.png
 
[emoji1][emoji1][emoji1] mimi siko huko kwa Usa vs China mimi niko hapa China vs Europe kwa uzuri

Kwa hio kesi yako new york bado ipo juuu inagdp ya 1.59 trillion uku shenzhen ni 447 billions[emoji1] ona hata aibu kijana

China tangu apigwe biti na USA la kutotumia microchips zake na HUAWEI ikafa kifo cha membe China ni kubwa jinga tu
Baada ya china kuanzisha 5G limekuwa pigo kwa USA.
Halafu china katengeneza space station pekee yake. Tuambie USA katengeneza pekee yake?
 
Back
Top Bottom