Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uyole Mbeya 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Fn0EumyXwAIY0d6.jpeg
 
Na kaweka hii picha kutaka kuonyesha sifa wana magari mengi au lane nyingi, kumbe uchafu na ubackward
hivyo vipanya vinne vingekua repalced na Bus Moja, hivyo kupunguza idadi ya magari barabarani, wakumbuke hata kama haya magari ni zero emision, A traffic jam is still a traffic jam
Nakwambia kilichomtuma kupost huu ushubwada,anajutaaa
 
Kitambo sana nilishatambua kuwa huyu mzee ni boya, hata kwenye corona alikuwa anapelekwa pelekwa tuu. eti watu walikuwa wanamlinganisha na Magu.

Sasa huyu Samia asije kutupeleke huko na madeni yake, kumbuka kwa miaka 2 tuu amekopa nusu ya pesa walizokopa wenzake toka uhuru.
 
Kenya ina magari chakavu na mikweche choka mbaya
Ndiyo maana watu wa nchi za africa wakija dar wanashangaa magari safi ...nakumbuka kuna mwaka wanajeshi wa india walikuja na kushangaa sana wakasema walipo sikia tanzania ni masikini wa 3 kutoka mwisho walijua ni nchi mbovu sana ila walipo fika wamekuta magari makali wakabaki midomo wazi hiyo ilikuwa miaka ya 1998 hivi rais alikuwa chegovala kikwete
Kikwete ameanza kutawala 2005.
 
Maneno mengine haya yanazidi kuja. Wengine mlioishi majuu kujeni mtujuze, sisi hatuna upande mwenye haki yake atapewa.
Ukipata chance ya kuishi Tokyo,ama Shanghai usijejidanganya kwenda China, kwanza huwezi pata kibali cha kufanya kazi kule ukienda kama mwanafunzi...unless umhonge askari na bado ukikamatwa watakuruka....unlike ukienda Tokyo unasoma na utapata masaa ya kufanya kazi na utapata pay safi tu...mfano wale wanaosoma masters hupata masaa mengi zaidi kwa wiki ya kufanya part time jobs hela ambayo inaweza kukusaidia kuishi huko vizuri

Hivyo hivyo kwa nchi za ulaya na America zile ni nchi za fursa ni wewe tu kuchangamka na kujiongeza...Sasa nenda China utarudi hapa na elimu hautakua na hata Mia mbovu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Influenced na Bi to***, yaani pata Mimba rudi shule
Idea ya pata mimba rudi shule ilikua ni idea ya kisenge sana.. yeyote aliwahi kusapoti idea hii ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine..

Na huu ni mwaka mmoja tu baada ya kurudisha hii sera ya hovyo.. sijui hali itafananaje after 3-5 years to come

"Pata mimba rudi shule" ni sawa na kusema "Ruhsa sasa kwa watoto wa shule kubeba mimba" so sad 😥
 
Ethiopia wana issue gani mzee , hebu niambie base za uchumi wao , mimi nawaona easy sana
Ethiopia hawana kitu mkuu walikuwa wana paint rosy economic figures kama hawa wakulungwa na ku hire a PR company to paint a good picture of Ethiopian economy lakini mwisho wa siku on the ground wako kama majirani zao tuu.

Huu mchezo ulikuja kushtukiwa baada ya Zenawi kutoka madarakani tuu wakaja kujua kumbe uchumi wao sio real bali ni wa makaratasi kama wa kulwa.
 
Ukipata chance ya kuishi Tokyo,ama Shanghai usijejidanganya kwenda China, kwanza huwezi pata kibali cha kufanya kazi kule ukienda kama mwanafunzi...unless umhonge askari na bado ukikamatwa watakuruka....unlike ukienda Tokyo unasoma na utapata masaa ya kufanya kazi na utapata pay safi tu...mfano wale wanaosoma masters hupata masaa mengi zaidi kwa wiki ya kufanya part time jobs hela ambayo inaweza kukusaidia kuishi huko vizuri

Hivyo hivyo kwa nchi za ulaya na America zile ni nchi za fursa ni wewe tu kuchangamka na kujiongeza...Sasa nenda China utarudi hapa na elimu hautakua na hata Mia mbovu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ndio maana mdau kasema mshikaji wake alienda China kusoma masters ila alirudi kama alivyoondoka na kufikia maghetton kwake
 
Back
Top Bottom