Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro inawezekana labda huenda tokyo iko vizur, lakini sio kuzidi miji ya china bhana.. heb ona TokyoView attachment 2501378View attachment 2501379kwa standards za miji kama Shengzhen au hata Chengdu, hii Tokyo inaonekana ni unplanned au disorganized city.. ChengduView attachment 2501384View attachment 2501387View attachment 2501391View attachment 2501395View attachment 2501396View attachment 2501399View attachment 2501401View attachment 2501402View attachment 2501405heb pata picha. Cheki hiyo planning ya hii city+greenery+modernity+massive buildings+clean streets.. yo Tokyo ni joke kwa cities za china.. hapo hiyo ni Chengdu tu..
Jielemishe

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Bro inawezekana labda huenda tokyo iko vizur, lakini sio kuzidi miji ya china bhana.. heb ona TokyoView attachment 2501378View attachment 2501379kwa standards za miji kama Shengzhen au hata Chengdu, hii Tokyo inaonekana ni unplanned au disorganized city.. ChengduView attachment 2501384View attachment 2501387View attachment 2501391View attachment 2501395View attachment 2501396View attachment 2501399View attachment 2501401View attachment 2501402View attachment 2501405heb pata picha. Cheki hiyo planning ya hii city+greenery+modernity+massive buildings+clean streets.. yo Tokyo ni joke kwa cities za china.. hapo hiyo ni Chengdu tu..
Angalia matajiri wanaishi wapi kwanza
Screenshot_20230131-171444_Chrome.jpg
Screenshot_20230131-171453_Chrome.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Bro inawezekana labda huenda tokyo iko vizur, lakini sio kuzidi miji ya china bhana.. heb ona TokyoView attachment 2501378View attachment 2501379kwa standards za miji kama Shengzhen au hata Chengdu, hii Tokyo inaonekana ni unplanned au disorganized city.. ChengduView attachment 2501384View attachment 2501387View attachment 2501391View attachment 2501395View attachment 2501396View attachment 2501399View attachment 2501401View attachment 2501402View attachment 2501405heb pata picha. Cheki hiyo planning ya hii city+greenery+modernity+massive buildings+clean streets.. yo Tokyo ni joke kwa cities za china.. hapo hiyo ni Chengdu tu..

Imekaa Poa sana, but wewe unadhani Japan au US hawawezi kuanzisha na kujenga miji mipya kama hii ya China ?
hata waarabu wanajenga, hata Egypt wameanza kujenga.
Nchi za Ulaya na Marekani that’s not their priority, plus capitalism, they don’t have that free land.
 
Imekaa Poa sana, but wewe unadhani Japan au US hawawezi kuanzisha na kujenga miji mipya kama hii ya China ?
hata waarabu wanajenga, hata Egypt wameanza kujenga.
Nchi za Ulaya na Marekani that’s not their priority.
🤣🤣 HAWAWEZI.. hizo nchi za Kiarabu zinajitutumua kujenga vimiji kimoja kimoja.. kule UAE mji tajika ni Dubai tu, Qatar ni Doha tu, china ni nchi nzima mzee and mind you China Iko na over 600+ cities, and guess what kati ya hayo majiji 600+, majiji 100+ ar of that kind..
 
HAWAWEZI.. hizo nchi za Kiarabu zinajitutumua kujenga vimiji kimoja kimoja.. kule UAE mji tajika ni Dubai tu, Qatar ni Doha tu, china ni nchi nzima mzee and mind you China Iko na over 600+ cities, and guess what kati ya hayo majiji 600+, majiji 100+ ar of that kind..
We jamaa suala sio city suala ni standard of living...wewe kama unaishi Manzese pale mahali kuchafu unaanzaje kumtambia mtu anaeishi kijijini machame huko kwenye mjumba mkali wenye kila kitu na yuko kijijini?
Sasa angalia Maosha ya mjapani mmoja ni bora kuliko maisha ya wachina watatu kw wastani...

Mjapani mmoja anamaisha mazuri kuliko wachina 3

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
HAWAWEZI.. hizo nchi za Kiarabu zinajitutumua kujenga vimiji kimoja kimoja.. kule UAE mji tajika ni Dubai tu, Qatar ni Doha tu, china ni nchi nzima mzee and mind you China Iko na over 600+ cities, and guess what kati ya hayo majiji 600+, majiji 100+ ar of that kind..

Well, let me give you simple facts ,
China GDP -$17t- Population 1.3b
US GDP $25t Population 330m
Japan GDP 5t- Population-120m

Hapo unadhani nani ni masikini?

Kama hujui China ina watu wengi sana masikini wa kutupwa vijijini, ukiona wanajenga hizi majengo marefu ni kwa ajili ya kuhudumia population kubwa waliyonayo..

Sasa unataka UAE yenye watu milioni 10 au qatar yenye watu milioni 3 wajenge majiji mengine ili akakae nani ?
Priorities,
China wako vema Sawa, ila levels zao ni kina South Korea, Brazil.
Mchina ni mhindi aliyechangamka.
 
Well, let me give you simple facts ,
China GDP -$17t- Population 1.3b
US GDP $25t Population 330m
Japan GDP 5t- Population-120m

Hapo unadhani nani ni masikini?

Kama hujui China ina watu wengi sana masikini wa kutupwa vijijini, ukiona wanajenga hizi majengo marefu ni kwa ajili ya kuhudumia population kubwa waliyonayo..

Sasa unataka UAE yenye watu milioni 10 au qatar yenye watu milioni 3 wajenge majiji mengine ili akakae nani ?
Priorities,
China wako vema Sawa, ila levels zao ni kina South Korea, Brazil.
Mchina ni mhindi aliyechangamka.
South Korea wako levels kk huwezi wafananaisha na wachina

Wachina pia wameendelea sana huwezi wafananisha na wahindi.
Mhindi hali yao duni tu kama waafrica

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Well, let me give you simple facts ,
China GDP -$17t- Population 1.3b
US GDP $25t Population 330m
Japan GDP 5t- Population-120m

Hapo unadhani nani ni masikini?

Kama hujui China ina watu wengi sana masikini wa kutupwa vijijini, ukiona wanajenga hizi majengo marefu ni kwa ajili ya kuhudumia population kubwa waliyonayo..

Sasa unataka UAE yenye watu milioni 10 au qatar yenye watu milioni 3 wajenge majiji mengine ili akakae nani ?
Priorities,
China wako vema Sawa, ila levels zao ni kina South Korea, Brazil.
Mchina ni mhindi aliyechangamka.
But kwa maendeleo bro i think china kwa sasa iko mbali sana na china ndio imekua kikwazo kikubwa sana kwa america kwenye maendeleo na technology wanasema kila mfalme na zama zake
 
Back
Top Bottom