Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Westlands
FjmlSsvWQAEEDtX

FjhBFuWXgAEmsX2

FhLcpMKXEAE7HCR

FhGU4eBXkAEGT_s
Shida hayo majengo yenu yana muonekano m'baya sana, kwanza yamepauka.
Angalia majengo ya Dar, jinsi yanavyopendezeshwa na rangi zake. Sasa nyinyi hayo majengo yenu yamekaakaa tu, mabaya na rangi pia hamjui kuchagua. RANGI MBAYA SANA. Ndo maana Nairobi kuna maghorofa mengi na bado pabaya
 
Shida hayo majengo yenu yana muonekano m'baya sana, kwanza yamepauka.
Angalia majengo ya Dar, jinsi yanavyopendezeshwa na rangi zake. Sasa nyinyi hayo majengo yenu yamekaakaa tu, mabaya na rangi pia hamjui kuchagua. RANGI MBAYA SANA. Ndo maana Nairobi kuna maghorofa mengi na bado pabaya
wewe ni wivu unakusumbua. Fuata CCM na unyamaze
 
Mimi na siasa hatuendani
Tubaki kwenye haya majengo. Majengo ya Nairobi mabaya sana
Mabaya kiaje kama sio wivu unakusumbua? Britam tower the tallest building in East and Central Africa ilichaguliwa na kupewa the Emporis Skyscraper Award na ika emerge among the 10 most outstanding skyscrapers duniani.
 
Mimi na siasa hatuendani
Tubaki kwenye haya majengo. Majengo ya Nairobi mabaya sana
Sema wewe nikisema mm naonekana mchawi. Majengo yao mengi ni mabaya mabaya halafu hayafuati render yamejengwa ilimradi tu, majengo mengi ya Kenya hayafuati render, yamejengwa kienyeji enyeji tu tofauti na majengo ya Tz mengi yanafuata render vile inataka.
 
Mabaya kiaje kama sio wivu unakusumbua? Britam tower the tallest building in East and Central Africa ilichaguliwa na kupewa the Emporis Skyscraper Award na ika emerge among the 10 most outstanding skyscrapers duniani.
CHINA pekee ina majengo zaidi ya 1000 ambayo ni marefu na mazuri hayana mfano, icho ki britam utakiweka wapi apo, kuna US, kuna Japan yn hiyo award labda iliandaliwa kibera.
 
Mabaya kiaje kama sio wivu unakusumbua? Britam tower the tallest building in East and Central Africa ilichaguliwa na kupewa the Emporis Skyscraper Award na ika emerge among the 10 most outstanding skyscrapers duniani.
Tallest kwa kuweka mnara wa 60m juu 😆😆
 
Tz tukishajenga rail to Burundi Rwanda na Congo Uganda hana choice zaidi ya ku join walio wengi maana sgr zote hizi na assume zitakuwa na specs kama za Tz. Hence Kenya will be a lone kid on the block with incompatible rail network.
Uganda wanajenga kuyelekea Tanzania. Wanajengaje kuelekea Malaba halafu wasubiri Kenya ambayo hata mipango ya kuifikisha SGR to Malaba haujulikani.

Ruto alikwapua mkopo mkubwa toka South Korea nafikiri, so, lets stay tuned na tuone hii game inaendaje ila mpaka sasa Tanzania kashinda hasa baada ya Congo kujoin in.
 
Mabaya kiaje kama sio wivu unakusumbua? Britam tower the tallest building in East and Central Africa ilichaguliwa na kupewa the Emporis Skyscraper Award na ika emerge among the 10 most outstanding skyscrapers duniani.


ignorant kapuku,
The tallest Building in the Region is a 209 m high Commercial Bank of Ethiopia Tower with 53 floors. Your 32 floor building plus 100m antenna makes it up to 190m.
IMG_0742.jpg
 
Soka la Tanzania limekuwa sana.View attachment 2482374
Na hapo Kocha ndio kwanza anatest mitambo kuwajua wachezaji apate first 11. Ukiacha njaa na mbio, Wakenya wako nyuma sana.

Game ya Mandonga ilikua ni pambano la utanguluzi lakini kwakua Mandonga chonga mbaya na kalipromote mpaka wamejaa ukumbini na limekuwa ndio main pambano. Jamaa ni wababaishaji tu!
 
aawapii kumbuka mlishasainisha tender in 2018! u better be quiet...!!
Have you read the article itself? When you can clearly read the manager say we don't have reliable electric capacity to run the line. Ama you want us to force issues? As I said the line will be electrified when the times comes.
 
Yes but in the mean time what option would you have chosen asume you wear Uganda's shoes.
Kwani do the train cross to another territory? Kila mtu anajenga SGR kwa maslahi yake binafsi kabla ya jumuiya ya EAC. Ata train yetu isonge na mwendo wa kobe cha muhimu ni mzigo ifike kwenye border at the required time
 
Back
Top Bottom