The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Binafsi mamiradi makubwa kama haya ya Sgr na bwawa siyataki kabisa maana yanaua uchumi..
Unawekeza pakubwa ila Tija yake ni ndogo,miradi ya hivyo haifai kabisaa..
By the way miradi ni Mingi sana tena ya size ya Kati kuanzia viwanda Hadi majengo..
Mfano kwenye sekta ya Kilimo Kuna uwekezaji mkubwa unaendelea Kwa Ajili ya Kilimo mfano 👇
So investments kwenye sekta kama Kilimo ni muhimu sana Ili kuondoa mabilioni ya pesa tunazotumia kuagiz vyakula ambavyo tunaweza kuzalisha ndani,soma hapa👇
Huyu jamaa sijui anajisikiliza anachoongea?Ww unataka viwanda wakati huna umeme wa kutosha watu wanaongezeka kilasiku umeme umeme uliopo hautoshi
Kwani wewe ulifikiri mzee wa "pua" ndo mmiliki of all the PDGs jiji la "Daslam"? Hivi jamaa anajua hata kuendesha?Lile gari alilotumia Steve Nyerere kipindi kile, leo ndo nimejua ni la Davis Mosha😀
View attachment 2480007
View attachment 2480006
Huyo jamaa miradi ya SGR na bwawa la umeme sio kama hajui impact yake baadaye, no sema kwasababu aliyefanya ni Magufuli so anajaribu kumpaka tope mwishoe anajichafua mwenyewe. Hivi mtu na akili zako unaweza kupinga mradi wa umeme?Ilikua lazima tuandae umeme wa kutosha kwa manufaa ya badae,na njia ya kupitisha mizigo mizito ili barabara zidumu...Hakuna kilichopotea so far,Angalia nchi zilizoendelea kama hawana umeme wa uhakika na reli
Haelewekagi huyo.Huyu jamaa sijui anajisikiliza anachoongea?
Wapi hii mkuu, mbn kuchafu sn namna hii?
Ndio CBD yao nairobi hio kaka🤣🤣🤣🤣Wapi hii mkuu, mbn kuchafu sn namna hii?
Sahv Dar tunajitahidi usafi sana maeneo ya mjini...sio rahisi kukuta takataka kama hizo
Daahh aisee ni kuchafu sn mkuu, nmestuka mno nilidhani kdg wamestaarabika kumbe bado ni afadhali ya jana mazee.Ndio CBD yao nairobi hio kaka![]()
Nmeshangaa, haya mambo ni ya zamani sn, huwezi kukuta uchafu kama huo Dar hata ukienda nje ya CBD. Dar ni safi mnoo mkuu.Sahv Dar tunajitahidi usafi sana maeneo ya mjini...sio rahisi kukuta takataka kama hizo