Hehehehe.., nimeachana na kijiji cha wavuvi dogo.., nime salimu amri walai 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Wachana na DAR kijana 👇View attachment 2479664View attachment 2479665View attachment 2479667View attachment 2479670View attachment 2479672Nairobi tatu ndio upate ukubwa wa Dar ..
Hapo mimi silaumu hali duni ya watu wa Mwananyamala, nalaumu watu wa mipango miji cause wangekua wamejipanga hata kupaboresha ingekua very easy kama KijitonyamaHehehehe.., nimeachana na kijiji cha wavuvi dogo.., nime salimu amri walai![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 2480817
View attachment 2480818
suppose Uganda wanaanza kujenga mpaka Malaba then what? Kutoka Malaba mpaka Naivasha mtabebesha mzigo punda?Wadangagiza hakuna nchi EAC inataka kuungana na SGR yenu ya umbwakni![]()
SGR sio politiki jirani SGR ni action on the ground. Sisi tumeshafika lake victoria na borders za Burundi, Rwanda na Congo everywhere is work in progress.hiyo chukueni.. sgr ni yetu
Uganda hawezi jenga SGR mpaka Malaba mpaka kwanza Kenya afikishe reli malaba.suppose Uganda wanaanza kujenga mpaka Malaba then what? Kutoka Malaba mpaka Naivasha mtabebesha mzigo punda?
Ni kweli, Bed night levy ni ya Zamani. Nilikua Hospitality industry miaka flani ilikua tunalipa 3 Usd kila kitanda kilicholaliwa. Kama chumba kina vitanda viwili na vyote vimelaliwa Bed night levy kwa siku hiyo inakua 6 usd.
Tatizo Sheria nyingi serikali zilikuwa wamezikalia kimya na watu wakajenga utaratibu kwamba hazipo Sasa wanazitekeleza inakuwa nongwa..Ni kweli, Bed night levy ni ya Zamani. Nilikua Hospitality industry miaka flani ilikua tunalipa 3 Usd kila kitanda kilicholaliwa. Kama chumba kina vitanda viwili na vyote vimelaliwa Bed night levy kwa siku hiyo inakua 6 usd.
Mmefika lake victoria lini? ebu nitumie picha au ticket number ya train uliobook ya sgr 🤣 🤣SGR sio politiki jirani SGR ni action on the ground. Sisi tumeshafika lake victoria na bordes za Burundi, Rwanda na Congo everywhere is work in progress.
Sasa wewe kaa hivyohivyo na paper SGR maana mmezoea vitu vya kwenye makaratasi.
Ujenzi wa SGR umeshafika mwanza, Kigoma na mpakani mwa majirani zetu kijana yenu bado iko porini.Mmefika lake victoria lini? ebu nitumie picha au ticket number ya train uliobook ya sgr![]()
![]()
nyiniyi ndio bado mko na sgr ya makaratasi, haifanyi kazi
Picha ni hizo hizo kila siku tafuta nyingine za vitu vipya utuwekee plz.Westlands
![]()
![]()
![]()
![]()
Hizi picha za Sumbawanga huwa nazipenda sn, zinapendeza machoni, maeneo mengi ya Tz ukitoa Dar yamejengeka kimpangilio sn, Dar tunafeli wapi sijui aisee. Ni kweli hatuna slums in Dar lkn ujenzi wa holela unakera sn na bado unaendelea na mamlaka zimekaa kimya.Ujenzi wa SGR umeshafika mwanza, Kigoma na mpakani mwa majirani zetu kijana yenu bado iko porini.
Sana aisee.Mji umepangwa ukapangika kisawasawa.