Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona unaongea kwa uchungu sana?
Mbona wewe ni boya hivyo, unalazimisha fikra zako?.., ama ukweli imekuumiza tayari? pole. zoea, niko na uhakika haukuelewa chochote wewe ni wa vijiweni tu 😝 😂
 
Shida hayo majengo yenu yana muonekano m'baya sana, kwanza yamepauka.
Angalia majengo ya Dar, jinsi yanavyopendezeshwa na rangi zake. Sasa nyinyi hayo majengo yenu yamekaakaa tu, mabaya na rangi pia hamjui kuchagua. RANGI MBAYA SANA. Ndo maana Nairobi kuna maghorofa mengi na bado pabaya
Rangi gani hapa unaongelea kwanza
images%20(2).jpg
 
CBD yao tu hovyo ina vumbi kuliko Somalia, lkn umcheki akijisifu sasa
Maumivu haya, pole mjukuu, Dar itabakia kukua tu Dar, na mifukara wengi EAC watabakia tu Tanzania kwa miaka zaidi ya hamsini zijazo., kwa vile hakuna la maana lililotendeka kuwakomboa, jipende mlivyo mtapona tu, hatufukuzi omba omba, umekaribishwa na wewe pia yakikulemea kwenu😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom