Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni lazima ikuvute macho?
Achana na huyo fala. Co-op house is iconic. A gem that one. Few in Africa can match.

Cooperative-bank.jpg
12391701383_2a3a3be3d6_b.jpg
 
Kuliko Serikali Kukopa pesa na kugawia wanaoitwa kaya Maskini Bora zingeelekezwa kwenye miradi..

Tasaf imekuwa inatumika kama kichaka Cha upigaji au Silaha ya Kisiasa ya chama kubwa👇

 
Iyo 20% ni kazi kubwa sana kwenye mradi kama huo...nmepita njia ya magomeni pale roundabout ya kigogo kuja msimbazi center hapajaguswa bado...kuanzia msimbazi center nakna wameendelea...Wakowa serious wanaweza maliza ila mwisho wa mwaka
Design ya hapo ilibadirika, wanatakiwa kujenga daraja with specifications kama lile linajengwa Jagwani ili kukabiliana na mafuriko, ndio maana wamepaacha kwanza kumalizia designing.
 
Back
Top Bottom