chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,692
- 45,962
Country mates wakati ni mkenya mwenzenuYour country mates will slaughter you for saying the truth😂
Country mates wakati ni mkenya mwenzenuYour country mates will slaughter you for saying the truth😂
Engineer wa wap huyo kaka🤣🤣🤣 tena engineer wa TRC kaelezea vzr na katoa sababu kwann itaingia ndani ya jengo alaf anakwambia eti ame skip kaaah 😁😁😁Sasa kama render ina perspective moja na hawajatoa view ya side nyingine how dare you make summary conclusions by calling it a canopy wakati hujapata full perspective? Unless you are a dumb ass engineer I will accept your reservations about this building.
Huyu bila shaka atakuwa ndiye anajenga maghorofa ya Kundustan yanayoanguka kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Engineer wa wap huyo kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Limeni kwanza muwe na chakula ndio muendelee na vitu vingine. Yaani unampigia kelele anayekulisha. Halafu majirani wote wanapenda chakula toka Tanzania ndio ujue Tanzania wananguvu kiasi gani kwenye kuzalisha chakula waganda, wacongo, rwanda, wakunya wote mnapenda mchele wa tanzaniaJibu swali? How many new units did you build in Tanzania? Kenya imepita 100 buses.
Watu na miji yenu buana, mnajua kila kona.Acha ujinga hiyo Kings Cross St Pancras ni shade hapo juu kwenye platform Station yenyewe ni hilo jengo hapo nyuma ndio wanakata ticket na kusubiria treni pamoja na kuwa na maduka.
MY TAKE
Ngosha wamegoma ku-redesign terminal badala yake wanataka iwe supermarket halafu serikali itoe fedha za terminal mpya!
Ila wajue tu, mikoa mingine wanalilia jengo kama hilo na wanaendelea kujichelewesha kimaendeleo!
Kuna mengi sana yapo.Wajerumani wameficha vitu vyao sana Tanganyika wakati wanatawala, wameiba hadi mijusi (dinosaurs ) na vitu vingi halafu wamekausha. Halafu bado wanataka kutunyonya hapo kuna vitu wamefukia tu wanataka wachukue kimya kimya. Sasa iwe win win sio wapate wao tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu tutafika huko unakosema Ila watu wanaweza mudu gharama za nauli?
Mbeya haijawahi kupoa 👇
Kuna mengi sana yapo.
Kuna meli ilizamishwa na Waingereza kwenye delta ya mto Rufiji. Katika vita kati ya Waingereza na Wajerumani "Battle of Rufiji Delta"
Hiyo meli ilikuwa imejaza madini ya Cobalt.
Umeongea vizuri sanaMkoa unataka jengo ‘lao’ liishe wapate chao, TAA nao wamesusa wanataka jengo jipya nao wapate chao. Hatari na nusu……..sisi wananchi tunataka jengo letu likamilike tupunguze adha, hili jengo litaondoka na mtu.
Ni kajinga alafu kako biased, tangu Venus Star akape makavu basi kila kitu cha Tz kibaya ila cha Kenya kizuri, zamani hakakuwaga hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante engineer mjuaji haya wote mpigieni makofi kwa nguvu [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] na niwape Risala fupi hiyu ndio designer wetu na pia ndio engineer mkuu wa hilo jengo haya makofi mengi kwakeeee waah wa waaaaah
View attachment 2461927
Kama hilo ni la kweli, basi mama awe makini sana, kuanzia watu wanaomzunguka mpaka safari za nje afanyavo.Lengo lao ni kukausha vyanzo vya mto.
Kwa sasa wapo watu 9 wamechepusha maji toka mto ruaha.
But tunapambana nao.
Ndani ya Selous Game reserve kuna hotel kubwa tu. Makomando kutoka nchi tajwa huwa wanakuja na kutoka kila mara kwa mara.
Ngoja nitazileta taarifa zote vizuri.
But tunapambana nao na hawatatuwezi. Rais amesema hataki kukwamishwa.
Kaka, Mwanza ni mji ambao una viongozi hawana vision kabisa.Ni kweli kiongozi, nadhani hii plan yao ya ku-face lift ile water front ya Mwanza itakuwa mapinduzi pia ya mambo mengi, Mwanza is very potential, viongozi wake ni lazima wawe na exposure ya kutosha kuplan future ya Mwanza for 50years. Ngoja tuone mambo yanavyoenda. View attachment 2461903
Mkuu,Kuna mengi sana yapo.
Kuna meli ilizamishwa na Waingereza kwenye delta ya mto Rufiji. Katika vita kati ya Waingereza na Wajerumani "Battle of Rufiji Delta"
Hiyo meli ilikuwa imejaza madini ya Cobalt.
Mkuu,
Nasubiria Kwa hamu sana Habari za hapo Rufiji na hayo mapambano kama ulivyosema.
Shuka points to point... Hata wakifuta nirushie pm maana Kuna habari na habari.
Kenyan paved roads is twice ya Tanzania. Shindaneni na Burundi nyinyi.