Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bwana Teargass hii ndio unaita extended canopy?View attachment 2461857
This is an extended canopy. Ebu nionyeshe tofauti ya hiyo na hii hapa🤣🤣😂😂

1672297487757.png
 
I said it😂😂🤣🤣.

Elongated canopy is waving to me👋👋👋😂😂🤣🤣

View attachment 2461901
The canopy which will be cladded and enclosured? Ulitaka tujenge bricks pote ndio ionekane ni ndani? Kwanza sijui kwanini hata tunabishana nini na wewe wakati jengo halijafika hata half way ushaanza kudata……😅😅 tuliza makalio, utakuja shangaa, hatubahatishi sisi.
 
The canopy which will be cladded and enclosured? Ulitaka tujenge bricks pote ndio ionekane ni ndani? Kwanza sijui kwanini hata tunabishana nini na wewe wakati jengo halijafika hata half way ushaanza kudata……😅😅 tuliza makalio, utakuja shangaa, hatubahatishi sisi.
Wapi Tofauti ya hiyo canopy ya Dodoma na hii hapa😂😂

1672297798826.png
 
Huwa nafurahi sana mnavyopata tabu na Dodoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebu nionyeshe tofauti hapa😂😂🤣😂

Screenshot (221).png



1672298434770.png
 
Ni “Extended canopy” kwasababu hii station haitakuwa na traditional platform canopy. Kutakuwa na extended “roof” inayounganisha jengo na upande wa reli, kutengeneza some kind of “tunnel” ambayo ndiyo mnasena treni inaingia ndani.
Asante engineer mjuaji haya wote mpigieni makofi kwa nguvu 👏👏👏👏 na niwape Risala fupi hiyu ndio designer wetu na pia ndio engineer mkuu wa hilo jengo haya makofi mengi kwakeeee waah wa waaaaah
download (1).jpeg
 
This is a perfect way to visualize it.
Huwezi kusema kuwa Dodoma station treni zinaingia “ndani” kwasababu zitakuwa zinaingia kwenye some kind of tunnel on the side of the station, lakini si ndani ya jengo.

Tazama hii station ya St. Pancras international iliyopo London. Hapa treni zinaingia ndani ya terminal literally.
ichoboy01
E35DF686-8555-4C91-B76C-335EF6D3545E.jpeg
 
Ni “Extended canopy” kwasababu hii station haitakuwa na traditional platform canopy. Kutakuwa na extended “roof” inayounganisha jengo na upande wa reli, kutengeneza some kind of “tunnel” ambayo ndiyo mnasena treni inaingia ndani.
Hata hili naona kama wamekosea hebu toa mchango wako engineer mkuu🤣🤣🤣🤣
20221229_104002.jpg
20221229_104057.jpg
 
Huwezi kusema kuwa Dodoma station treni zinaingia “ndani” kwasababu zitakuwa zinaingia kwenye some kind of tunnel on the side of the station, lakini si ndani ya jengo.

Tazama hii station ya St. Pancras international iliyopo London. Hapa treni zinaingia ndani ya terminal literally.
ichoboy01
View attachment 2461933
Hebu tuoneshe canopy kwenye hii render na ukiipata tafuta sehem yoyote unywe soda ntalipa mm engineer mkuu🤣🤣🤣🤣🤣
20221229_103954.jpg
 
Back
Top Bottom