7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Pedeli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnachomelea bodi ya gari, uwezo wa kutengeneza engine ya bus mnao? labda mtengeneze bus za kunyonga na pedali...
Pedeli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnachomelea bodi ya gari, uwezo wa kutengeneza engine ya bus mnao? labda mtengeneze bus za kunyonga na pedali...
Station kama mbeleBwana Teargass hii ndio unaita extended canopy?View attachment 2461857
Sawa lakini si inapiga route za Tanzania na Zambia shida iko wapi?
Hata Newforce Ni kampuni ya Kichina Ila inafanya kweli Nyanda z Juu Kusini 👇
ohk ila ndugu yangu utalii ni package as a whole na si maneno ya uwanja tu! Ninavyojua mimi NSSF hotel ilikuwa iwe 5 star hotel ya kwanza Mwanza ila zaidi ya miaka nane haijaisha! Pia kuna vitu kama tour companies nadhani wangefanya benchmarking Arusha na Zanzibar waone jinsi utalii unaendeshwa la sivyo ya Chato airport yanaenda kujirudia Mwanza Airport! Mwanza city fits well as mining and business center, the city needs to craft her own niche na si kwa vile Zanzibar, Moshi na Arusha ni tourism centers basi na Mwanza iwe tourism center wanaweza kupotea!Kama nimemuelewa RC ni kwamba wamefanya re-design alafu TAA wamegoma ku-approve licha ya kuwaweka onboard, ndio mwisho anasema kama wakiendelea kuzingua akawashitaki kwa Waziri kuwa watu wako wanatukwamisha.
Kuhusu NSSF hotel. Nipo na habari njema. Soon next year mambo yatakuwa mazuri. Niamini mimi.ohk ila ndugu yangu utalii ni package as a whole na si maneno ya uwanja tu! Ninavyojua mimi NSSF hotel ilikuwa iwe 5 star hotel ya kwanza Mwanza ila zaidi ya miaka nane haijaisha! Pia kuna vitu kama tour companies nadhani wangefanya benchmarking Arusha na Zanzibar waone jinsi utalii unaendeshwa la sivyo ya Chato airport yanaenda kujirudia Mwanza Airport!
Kilimanjaro Exp mpya hizi hapa 👇Hebu jaribu kutafuta new
1. Dar Luxy
2. Sauli
3. Kilimanjaro express
Yaani kama serikali ingeweza kutoa makao makuu ya Barrick Gold (Acacia) J'burg na kuyaleta Mwanza baada ya kujenga viwanda vya kuchenjua dhahabu, inge-spur maendeleo ya Mwanza kwa haraka kuliko maelezo na ni niche ya kipekee kwa Mwanza bila ya ushindani kutoka mkoa mwingine wewote ule! Ingeleta kukua kwa ujenzi wa maofisi na mahoteli ya kisasa, migahawa ya kisasa na mashule (international) ya kisasa Mwanza huku international air transport ikikua pia!Kuhusu NSSF hotel. Nipo na habari njema. Soon next year mambo yatakuwa mazuri. Niamini mimi.
Inawezekana. Kuna watu wapigaji walikuwa wanamzunguka Rais. Sasa hivi mambo ni bam bam. Take from me. From next year kuna mengi sana tutayaona. Mwanza itafunguka.Yaani kama serikali ingeweza kutoa makao makuu ya Barrick Gold (Acacia) J'burg na kuyaleta Mwanza inge-spur maendeleo ya Mwanza kwa haraka kuliko maelezo na ni niche ya kipekee kwa Mwanza bila ushindani! Ingeleta kukua kwa ujenzi wa mahoteli, migahawa na mashule ya kisasa Mwanza huku international air transport ikikua!
Halafu Kuna siri nyingi sana kuhusu Mto rufiji. Tayari documents zipo nitaanza kuzimwaga.Yaani kama serikali ingeweza kutoa makao makuu ya Barrick Gold (Acacia) J'burg na kuyaleta Mwanza inge-spur maendeleo ya Mwanza kwa haraka kuliko maelezo na ni niche ya kipekee kwa Mwanza bila ya ushindani kutoka mkoa mwingine wewote ule! Ingeleta kukua kwa ujenzi wa mahoteli ya kisasa, migahawa ya kisasa na mashule (international) ya kisasa Mwanza huku international air transport ikikua pia!
Wana mpango kabambe kukausha vyanzo vya mto rufiji.Halafu Kuna siri nyingi sana kuhusu Mto rufiji. Tayari documents zipo nitaanza kuzimwaga.
Kuna nchi tatu wamejipanga kutukwamisha.
1. Ujerumani
2. Uingereza
3. Ubeligiji
Maana delta ya mto huo kuna siri nyingi sana.
Tokea vita ya kwanza ya dunia. Na muunganiko wa stori ni pamoja na MV Liemba ya Ziwa Tanganyika.
mbona wamechelewa mto Rufiji si ndo kwa JNHPP? Sasa kitu kipo 80% watatukwamisha vp? Si hapo January turbines zinaanza kufungwa? Huo mradi wa JNHPP na EACOP ni unstoppable!Halafu Kuna siri nyingi sana kuhusu Mto rufiji. Tayari documents zipo nitaanza kuzimwaga.
Kuna nchi tatu wamejipanga kutukwamisha.
1. Ujerumani
2. Uingereza
3. Ubeligiji
Maana delta ya mto huo kuna siri nyingi sana.
Tokea vita ya kwanza ya dunia. Na muunganiko wa stori ni pamoja na MV Liemba ya Ziwa Tanganyika.
Lengo lao ni kukausha vyanzo vya mto.mbona wamechelewa mto Rufiji si ndo kwa JNHPP? Sasa kitu kipo 80% watatukwamisha vp? Si hapo January turbines zinaanza kufungwa?
View attachment 2461577
View attachment 2461579View attachment 2461578
DODOMA SHIKAMOOOOO MARAHABA Tz
How many did you build in 2022? Hata hazifiki tano😂🤣🤣🤣Even us in TZ we build those buses wala haturingi kama nyie.
Ni kweli kiongozi, nadhani hii plan yao ya ku-face lift ile water front ya Mwanza itakuwa mapinduzi pia ya mambo mengi, Mwanza is very potential, viongozi wake ni lazima wawe na exposure ya kutosha kuplan future ya Mwanza for 50years. Ngoja tuone mambo yanavyoenda.ohk ila ndugu yangu utalii ni package as a whole na si maneno ya uwanja tu! Ninavyojua mimi NSSF hotel ilikuwa iwe 5 star hotel ya kwanza Mwanza ila zaidi ya miaka nane haijaisha! Pia kuna vitu kama tour companies nadhani wangefanya benchmarking Arusha na Zanzibar waone jinsi utalii unaendeshwa la sivyo ya Chato airport yanaenda kujirudia Mwanza Airport! Mwanza city fits well as mining and business center, the city needs to craft her own niche na si kwa vile Zanzibar, Moshi na Arusha ni tourism centers basi na Mwanza iwe tourism center wanaweza kupotea!
Do u really listen to ur sorry dirty mouth?How many did you build in 2022? Hata hazifiki tano😂🤣🤣🤣
Nitolee hasira hapa. Sikuambia mwizi akupigie Leo kazini.Unajua wewe ni mpumbavu sana, unapenda kuji console na kukataa ukweli na kwa bahati mbaya nyie wakundustan hampo kama sisi Watz hamkosoani kutokana na ujinga wa kuzaliwa mlionao, sasa kampuni ku invest kwenye kampuni nyingine ni jambo la ajabu? Ndio maana nakuita mnuka mavi.
Jibu swali? How many new units did you build in Tanzania? Kenya imepita 100 buses.Do u really listen to ur sorry dirty mouth?
Wakazane Mwanza iwe hub shughuli za mining na business as a whole! Ila Utalii sijui kama utaleta impact kubwa na ya haraka ukizingatia wanaenda kushindana na Arusha ambayo ipo mbali na inaendelea kukua kila siku uwanja wa Kisongo unapanuliwa at the moment meaning more flights ukikamilika!Ni kweli kiongozi, nadhani hii plan yao ya ku-face lift ile water front ya Mwanza itakuwa mapinduzi pia ya mambo mengi, Mwanza is very potential, viongozi wake ni lazima wawe na exposure ya kutosha kuplan future ya Mwanza for 50years. Ngoja tuone mambo yanavyoenda. View attachment 2461903